Mpunilevel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 3,140
- 1,871
Achague sehemu atakayongoza. Itapendeza akiwa HAISasa wewe umeambiwa maandamano nchi nzima, Hugo Mbowe atakuwepo kila mahali?
Achague sehemu atakayongoza. Itapendeza akiwa HAISasa wewe umeambiwa maandamano nchi nzima, Hugo Mbowe atakuwepo kila mahali?
Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
Sio kwamba naunga mkono mtoa hoja, lakini nakumbuka mtoto wa Nyerere alienda kwenye vita vya Tanzania na UgandaHata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
kwani nyerere alikuwa mwanajeshi? hujui kuwa uwanja wa mapambano hadi kanali anaenda vitani inshort all soldiersHata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
Sio kwamba naunga mkono mtoa hoja, lakini nakumbuka mtoto wa Nyerere alienda kwenye vita vya Tanzania na Uganda
Unafananisha Vita vya Kagera na Vurugu za hawa Mawakili wa Mafisadi na wakwepa kodi?Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
Siku zote sisi maskini ndio wakombozi wa taifa sababu hatumwogopi mtu nasema tena 1mwezi wa 9 police wajiandae na mizinga kabisa maana mabomu ya machozi risasi za moto hazitasaidia kitu

We unaishi dunia gani, ushawahi ona kamanda anatangulia mbele vitani yeye yuko nyuma kupanga strategy. Hata ktk kundi la nyuki wa mwisho kufa ni malkia baada ya wapiganaji wote kuangamia. Mbowe atakuwa anafanya makosa ya kimkakati kuongoza maandamano yayosubiriwa na askari wenye hasira na virungu mikononi.

Kwahiyo Tanzania inapigana na Nani??Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
Hapo sasaHuyu anaesema tunataka kumuua kamanda mkuu atakua ni Lowassa. Anajitetea kijanja.
Nani sasa akafe?
kwa hiyo unataka nani afe?Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
mkuu yanahusu kushika ukutaLini hayo maandamano na yanahusu nini?
Exactly!!Just be a little more thoughtful before you hit the keys on your computer or mobile device. This is not an apple-to-apple comparison! Nyerere was a commander-in-chief with the prerogative powers to give legally-binding orders to his servicemen. Mbowe is a volunteers' leader; he can only be more effective by leading by example. Otherwise, the potential volunteers may simply ignore his call to action without triggering any disciplinary action!
Walisema kikwete thaifu sasa hivi Magufuli dictator!!Wanataka Watoto wa wanyonge waumizwe na Dola hoja ibadilile iwe wanapinga mauaji
Uzuri ni mmoja kuwa Magufuli anatoka kwny Kivuli walichokitumia 2005-2015 hivyo wanajuana!
Nimemuuliza pia hivi Tanzania inapigana na Nani??Unafananisha Vita vya Kagera na Vurugu za hawa Mawakili wa Mafisadi na wakwepa kodi?