ACT - Wazalendo Wamnyooshea kidole Zitto!

ACT - Wazalendo Wamnyooshea kidole Zitto!

ACT nao watatembeza bakuli kwa kuchangiwa kwa njia ya mpesa, tigopesa, airtelmoney. Pia watafanya harambee kama walivyofanya wengine na mwisho watapata ufadhili kutoka kwa wafanyabiashara 10 ambao majina yao hayatatajwa!
 
nilipita juzi pale msamv stend nikashangaaa kuona hata bango la mgombea wa pale afande sele picha yake imefichwa ila bango lote limejaa picha ya zitto.....nikashangaa sana...jamaa kawashika akili

Hata mm nilishangaa sana kwa staili hii wakina afande ubunge wasahau
 
Wangetumia fursa vizuri kwa kuweka mabango ya mgombea urais mikoa mbalimbali badala ya kuweka mabango yenye picha ya Mwami Zitto wakati hagombei urais. Ni very simple logic lakini ingewasaidia sana, Zitto anagombea Kigoma, mabango yenye picha yake yanafanya nini Dar na Morogoro ambako hakuna bango la Anna mgombea uraisi. Ukata wa kujitakia

Mwami ni Mbinafsi sana na Mpenda sifa
 
Tangu zitto awaamulishe wagombea Udiwani na Ubunge wote kuweka picha yake pembeni ya bango badala ya picha ya mgombea uraiasi wao ndo hapo nilimuona ni mnafiki mno
 
nilipita juzi pale msamv stend nikashangaaa kuona hata bango la mgombea wa pale afande sele picha yake imefichwa ila bango lote limejaa picha ya zitto.....nikashangaa sana...jamaa kawashika akili

Wamempoteza afande sele nackia anajilaum sana
 
tatizo la watz ambao ni wanasiasa vijana niwepesi kujaa viburi pale wapojulikana ,zito ni miongoni mwao amesahau kabisa katokawapi , mzee Lowasa kipindi akiwa kijana alikuwa akitii wazee walomlea ndo maana kakomaa vizuri kisiasa pamoja na changamoto alozipitia bado watz waliowengi wanaimani nae .Sasa kwa kile anachokifanya zito ndani ya act cjui kama miaka ishirini ijao wtz watakuwa na imani na mwanasiasa huyu .
 
Alizani CCM watamnunua Anna ili wavute hela,maCCM yenyewe yamepagawa na Lowasa
 
Mimi ni UKAWA lkn sipendi kuacha kujadili yetu harafu tunamgeukia Zitto mtu ambaye hata hatushambulii.
 
Mimi ni UKAWA lkn sipendi kuacha kujadili yetu harafu tunamgeukia Zitto mtu ambaye hata hatushambulii.

Kwani lini aliacha kuishambulia UKAWA? Nani asiyejua madhumini ya ACT kama siyo kupambana na upinzani na hasa cdm?
 
Mimi ni UKAWA lkn sipendi kuacha kujadili yetu harafu tunamgeukia Zitto mtu ambaye hata hatushambulii.

Ww unampenda zitto..kwanz hap watu wansjadili hoja na si zitto..bahati mbaya zitto yupo ndani ya mada..ache ale vyake.ni utoto kugombea ubunge kigoma alafu unawek bango mbeya..ujinga plus
 
Dhambi ya usaliti inawatafuna. Kumbe Arakati Zote na Kusimamisha Wabunge Nchi Nzima Lengo ni Ruzuku?

hahahahaaaa. Zito Kweli Ni Kiboko Kumbe Anazipigia Mahesabu Pesa za Ruzuku?

Mwisho wa Hiki Chama utakuwa Mbaya Sana. Maana ni Chama Cha Wapiga Dilitu. itakua Kila Mtu Akipata Fursa Ya Kupiga Mchongo, Ana Kwarua Pesa. Hii itakua ni Zaidi ya Kikoba.

Wakati tumezubaa zubaa wao wanapiga baa ooo oooo. Uchumi wa nchi unazorota kwa sababu ya mafisaidi hawa...... tumechoka kunyonywa....
 
Wajumbe wa kamati kuu ya ACT wazalendo wamnyooshea kidole zitto kwa kile wanacholalamika kuwa anatumia nafasi yake ya uongozi wa chama vibaya.

Moja ya mjumbe huyo (jina tunalihifadhi) amesema zitto ni mbinafsi, hashirikishi chama katika utendaji, akija na ajenda zake hataki zijadiliwe anazipitisha kama zilivyo.

Anasema ndani ya chama wengi tulipenda tusisimamishe mgombea urais kutokana na bajet yetu kuwa ndogo, tukapendekeza tuwekeze nguvu kwenye wabunge na madiwani sehem ambazo tunanguvu, lkn zitto aling'aka sana na kukataa katukatu kwa kisingizio cha kupata ruzuku katika chama kama tutamsimamisha mgombea urais.

Mpaka sasa hali ya kifedha ndani ya chama inaogopesha, fedha alizozihaidi zitto zitatoka hatuzioni, na mpaka sasa hatujajua hatma ya kampen za mgombea urais, alisema mjumbe huyo.

Mi nilidhani nikweli nilipoaminishwa kuwa ACT ni mpini wa CCM kuimaliza nguvu CDM kumbe zilikuwa propaganda za Bavicha duh! Mi naamini kbs Act iko hapo ilipofika kwa influence ya zzk kwa 97% na nisimple logic kwamba majority ya wanachama na washabiki wa Act wako huko kwa imani waliyonayo kwa zzk kisha sera za chama na mlengo wa kuikomboa tz kwa kujenga uchumi bora na shirikishi pamoja na kupinga maharamia na mafisadi ambao wanakumbatiwa na kutakaswa na ccm hatimae Cdm chama kilichokuwa mstari wa mbele na tegemeo la watz kutetea taifa hili kitu ambacho leo hatukioni kikifanyika zaidi tutegemee kuona administration ya ccm ndani Cdm. So uwepo wa zzk kwny flyers za wagombea ubunge/udiwani lengo ni kigain/attract influence ya wapiga kura. That's it.
 
Mwenye ufaham wa siasa akiona thread hii atakachofaham ni kwa walioshirikiaana kuuandaa wamevamia siasa
 
Utafiti wa TWAWEZA umeonyesha kuwa ACT itapata asilimia sufuri ya kura Octoba 25.
 
nilipita juzi pale msamv stend nikashangaaa kuona hata bango la mgombea wa pale afande sele picha yake imefichwa ila bango lote limejaa picha ya zitto.....nikashangaa sana...jamaa kawashika akili

Mkuu unajichosha bure kushangaa. Picha ya Aya.toll.ah Ali Khamenei ndio icon rasmi ya taifa la Uajemi. Picha ya rais wa nchi wala haijulikani. ACT wanechukua mfumo huu wa uongozi.
 
Travuda usiongee mambo yalio nje ya mada. Lowasa ameingiaje?
 
Wewe ni Ukawa, sijakuelewa maana yako. Hapa tunaongelea upinzani, wewe unaleta ubinafsi au!!
 
Back
Top Bottom