Hawa ndio wale wanaume wanaitwa Simp, pig man. Ukipata vimali kidogo tu, watakuua maisha yako si marefu.
Mwanaume mwenzio kakuona boya, baba mkwe anakushngaaa aina gan ya mwanaume ww, mkeo yeye mwenyewe anajua jinsi ulivyo zuzu.
Acha kupoteza muda kuandika Emails au kutuma ma barua..sehemu nyingi hawanaga muda wa ku respond na maombi hayo.
Nenda mwenyewe, na barua yako. Tembelea sehemu kadhaa, pambana utapata.
Mkeo naye alikuwa kama huyo , so kwa huyo mpya usitegemee makubwa sanaa. Title ikibadilika kutoka mpenzi, girlfriend, sex mate to Wife mengi yanabadilika pia.
Hiyo sms aliyokutumia ni mbinu na mtego tu, upapalike uingie ktk kingi ujilipue na ahadi kemkem.
Huyo mwanamke alijua fika kuwa haupo...
Uzi wako umeusuka kitaalam Sana, lengo sio ku adress kutapeliwa. Lengo lilikuwa kutaka kuonyesh connection yao , ushirikina na huko wanako swali watu.
But umeuwek fresh ili upate hata mchango wao. Ngoja tuone
Umesema vyema kabisa. Hiyoo team yote haitotaka kuonekana hawatoshi, lazima watatak kuthibitsha zaid, udhalimu wao.
Maana kwa System ya sasa, kila mtu hapo anamjua mtue, unaweza kwenda kufatilia rufaa, unaye muandikia rufaa ana ushikaji na hao , unakuta email zako au barua zako zina somwa na...
Chukua Kitabu cha Think and Grow rich cha Napoleon Hill, chapter 10. Isome, usipo elewa au ukitaka manufaa zaidi, karibu inbox broo, nikupe ka semina ka Nusu saa kwa njia simu.
Wengine tuna nguvu ktk maneno kuliko maandishi
Mimi nadhani inatakiwa kuwa na mkeka kikatiba kwamba boya yeyote akizingua ktk teuzi, akitumia nguvu ya umma vibaya, afilisiwe then 10years in prison, maximum security maana hao ni public enemy..
Na hizi teuzi watu waombe kwa CV
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.