Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,996
- 22,715
Kuacha kuangali porn ni ngumu aisee.
Inabidi ujitoe haswa.
Inabidi ujitoe haswa.
inawezekana bossiKuacha kuangali porn ni ngumu aisee.
Inabidi ujitoe haswa.
Mwishowe faida hamunaKula km kula km.....kula km kijana
HeeehAnd Self esteem pia
Kama unataka faida, fanya biashara sasa....Mwishowe faida hamuna
🤭upper low
Bado hujasema ! we utakua n malaya mwenzanguWewe ni malaya
Nishauri bas biasharaKama unataka faida, fanya biashara sasa....
Hilo lenyewe lishoga amwone msichana gani sasa? You are not serious. Amekuwa yupo horny all the time. Hushangai?Anza hivi!!!
Ukiwaza ngono,mfano kuna msichana umeshampanga mkalondomoane guest,tengeneza bajet ya tukio zima mf nauli yenu wote2, mkifika labda mtapata vibia viwili vitatu, hela ya kulipia gest nk.
Ukishapata jumla kuu jiulize hiyo hela si unaweza kununua tofali kadhaa? Au kama ni mfanyabiashara let say wa nyanya jiulize hiyo hela unayoenda kuiteketeza huko ni sawa na tenga ngapi za nyanya? Ukipata jibu nenda kanunue nyanya
HAMUSHA sasa.Nafahamu
Chukua Kitabu cha Think and Grow rich cha Napoleon Hill, chapter 10. Isome, usipo elewa au ukitaka manufaa zaidi, karibu inbox broo, nikupe ka semina ka Nusu saa kwa njia simu.Sina namna nzuri ya kuelezea lakini kwa kingereza ni SEXUAL TRANSMUTATION kitu kama hicho.
Kifupi mimi ni mtu niko horny 24/7 aisee!
Yaani ni motoooo!! Sijui ni tatizo au ni normal lakini nachojua ndio nilivo!
Wenda hata ningekuaga tajiri sema ndio hivo hiyo nguvu/Energy /Power ipo upande mwingine.
Nishawaihi kusikia watu wakisema mfano ukiweza ku redirect au kuibadili hii nguvu kwenda kwene biashara au masomo au vitu vya kujiendeleeza basi utafanikiwa sana Binafsi niliamini. Ngoja nikwambie kwanni.
Shule mi sikua mtu wa kusoma kifupi sikua naweza kusoma saa moja mmfululizo likaisha. Nikisoma nusu saa bas nishachoka na kupoteza interest
(Aiseeehapa nilikua nawashangaa wanaosoma kuanzia saa 2usiku na kurudi saa8 usiku nilikua najiuliza wanasoma kinini sijui ila nachokumbuka wengine tumetoka sawa na GpA ya upper low)
Wapo wataosema hyo ni Attention deficit mental illness lakini siwalaumu nawaelewa pia.
Upande wa pili wakati nikishindwa kusoma zaidi ya saa moja Lakini nilikua naweza kuangalia na kupekua porn kuanzia saa3 usiku had saa 9 au saa kumi alfarjiri CAN YOU IMAGINE HIYO ENERGY? masaa mangap hayo babuu !!
Somaaaa hyooooo!!!
Kuna energy kubwa sana huko kwene hiyo sector ninayo.
Wakati Nilishindwa kupaka rangi na kuweka tiles kwene kajumba kangu ila nilipanda ndege kwenda dar kwa ajili ya uzinzi ambao tulikua tunachat social media. budget 1.3M wakat budget ya kukarabat kajumba kangu iilikua kama 450k tu.
Hii investment hainilipi wanangu nawambia.
Asilimia kubwa la bundle natumia kuangalia hayo mambo yanayonifanya nakua horny! ulimwengu wa xxx lets say budget ya bundle kwa mwezi ni kama 80k.Hapo lakini kiwanja changu hati ni 150k sijakikatia. Mambo ni mengi sana.
Ndipo nikaja kukutana na HIZI IDEA ZA KUHAMISHA ENERGY KUTOKA SECTOR MOJA YA MWILI HAD NYINGINE.
Vitu vilivyonimotivate mfano
Erick shigongo Aliwai sema
“Right wanaume tungeweka nguvu tunazozitupia kwene mapenzi na ngono kwene biashara au kutafuta mafanikio wengi tungekua matajiri”
Sasa watalamu wa hivi vitu naombeni msaada. Uwe professional please maana kuna wale wakurahisisha.
View attachment 2936196
Chukua Kitabu cha Think and Grow rich cha Napoleon Hill, chapter 10. Isome, usipo elewa au ukitaka manufaa zaidi, karibu inbox broo, nikupe ka semina ka Nusu saa kwa njia simu.
Wengine tuna nguvu ktk maneno kuliko maandishi
Haupo peke yako bw wewe, mpo wengi!Sina namna nzuri ya kuelezea lakini kwa kingereza ni SEXUAL TRANSMUTATION kitu kama hicho.
Kifupi mimi ni mtu niko horny 24/7 aisee!
Yaani ni motoooo!! Sijui ni tatizo au ni normal lakini nachojua ndio nilivo!
Wenda hata ningekuaga tajiri sema ndio hivo hiyo nguvu/Energy /Power ipo upande mwingine.
Nishawaihi kusikia watu wakisema mfano ukiweza ku redirect au kuibadili hii nguvu kwenda kwene biashara au masomo au vitu vya kujiendeleeza basi utafanikiwa sana Binafsi niliamini. Ngoja nikwambie kwanni.
Shule mi sikua mtu wa kusoma kifupi sikua naweza kusoma saa moja mmfululizo likaisha. Nikisoma nusu saa bas nishachoka na kupoteza interest
(Aiseee😂😂😂😂hapa nilikua nawashangaa wanaosoma kuanzia saa 2usiku na kurudi saa8 usiku nilikua najiuliza wanasoma kinini sijui ila nachokumbuka wengine tumetoka sawa na GpA ya upper low😂😂😂)
Wapo wataosema hyo ni Attention deficit mental illness lakini siwalaumu nawaelewa pia.
Upande wa pili wakati nikishindwa kusoma zaidi ya saa moja Lakini nilikua naweza kuangalia na kupekua porn kuanzia saa3 usiku had saa 9 au saa kumi alfarjiri 😀CAN YOU IMAGINE HIYO ENERGY? masaa mangap hayo babuu !!
Somaaaa hyooooo!!!
Kuna energy kubwa sana huko kwene hiyo sector ninayo.
Wakati Nilishindwa kupaka rangi na kuweka tiles kwene kajumba kangu ila nilipanda ndege kwenda dar kwa ajili ya uzinzi ambao tulikua tunachat social media. budget 1.3M wakat budget ya kukarabat kajumba kangu iilikua kama 450k tu.
Hii investment hainilipi wanangu nawambia.
Asilimia kubwa la bundle natumia kuangalia hayo mambo yanayonifanya nakua horny! ulimwengu wa xxx lets say budget ya bundle kwa mwezi ni kama 80k.Hapo lakini kiwanja changu hati ni 150k sijakikatia. Mambo ni mengi sana.
Ndipo nikaja kukutana na HIZI IDEA ZA KUHAMISHA ENERGY KUTOKA SECTOR MOJA YA MWILI HAD NYINGINE.
Vitu vilivyonimotivate mfano
Erick shigongo Aliwai sema
“Right wanaume tungeweka nguvu tunazozitupia kwene mapenzi na ngono kwene biashara au kutafuta mafanikio wengi tungekua matajiri”
Sasa watalamu wa hivi vitu naombeni msaada. Uwe professional please maana kuna wale wakurahisisha.
View attachment 2936196