Recent content by edekontifo

  1. edekontifo

    Kiwanja cha meter 11x15 naweza jenga vyumba 3 na sehemu ya Parking?

    Itakufa hii inafiti na parking unapata
  2. edekontifo

    Kiwanja cha meter 11x15 naweza jenga vyumba 3 na sehemu ya Parking?

    Unaweza jenga lakini parking ya gari moja tuu
  3. edekontifo

    Je, tofali 2800 zinatosha kujengea nyumba ya vyumba 3 na kila kitu ndani?

    Tofali 2800 zinaweza kutosha au kutotosha kujenga nyumba ya vyumba 3 inategemea 1. aina ya nyumba 2.Uwanja jinsi ulivyo (una slop au hauna) 3.Muonekano wa paa hapa kuna *Pitched roof (paa la kuonekana kama zilivyo nyingi) *Hidden roof (paa lisilooneka) *Lean to roof (paa la upande mmoja) N:B...
  4. edekontifo

    Msaada: Gharama za nyumba ya vyumba viwili

    Haiwezekani kujenga nyumba kwa 2mil ukamaliza,haiwezekani
  5. edekontifo

    Wachezaji bora wavaao legeza/kata K

    Neymer Jr.
  6. edekontifo

    This only in Tanzania

    Kubet mtaji wake ni kuanzia 500/= tu,kujiajiri?
  7. edekontifo

    Naweza kujenga nyumba kwa TZS Milioni 20?

    Usitumie mafundi wa kawaida,nakushauri utafute mataalam wa ujenzi watakusaidia kupata nyumba bora kabisa.
  8. edekontifo

    KARIBU TUJENGE PAMOJA

    Burnt brick wall.
  9. edekontifo

    Karibu tujenge pamoja (255739079199)

    Kwa ushauri wa ujenzi bora wa nyumba,ramani bora nyumba pamoja na ujenzi wa nyumba tuone #PIARA TANZANIA tutakusaidia kufikia lengo lako. Unaweza kutuuliza chochote kile kuhusu ujenzi. Baadhi za kazi zetu.
  10. edekontifo

    Ujenzi wa "flats" 20 za ghorofa nne kwa Tshs bilioni 10, kila flat ni Tshs milioni 500. Twende kazi!

    Quality ya jengo lako unalizika nayo? Umejaribu kuona wapi qs alioverestimate hadi tofauti iwe kubwa hivyo
  11. edekontifo

    Kwanini vitanda vingi huwekwa pembeni mwa chumba?

    Vitanda kuwekwa pembeni ni kusave space tu hakuna kingine
  12. edekontifo

    Natafuta raman ya nyumba ya room 3

    3 bedrooms including 2 master bedrooms
  13. edekontifo

    Muuzaji wa Sandals za kimasai kwa jumla

    Nahitaji sandals za kimasai kwa bei ya jumla. Muuzaji tafadhari onyesha bei ya kila bidhaa kama zinapishana bei,pia onyesha kama kuna punguzo special kwa mnunuzi wa bidhaa nyingi. Ni vizuri pia kama ungeambatanisha na picha za bidhaa
Back
Top Bottom