Kwanini vitanda vingi huwekwa pembeni mwa chumba?

KAJOBO

JF-Expert Member
Sep 2, 2014
386
301
Habari wana MMU?

Kwa uzoefu wangu asilimia kubwa ya nyumba nilizowahi kuingia hii ikiwemo na nyumba za kulala wageni nilikuta kitanda kikiwa pembeni mwa chumba husika.

Kwa nini vitanda haviwekwi katikati?Badala yake huwekwa pembeni mwa chumba? Pia ni kwanini wanawake mara nyingi hulala ukutani pembeni mwisho wa kitanda?

Nawaslisha
 
Na hilo ni la kuuliza.Vinawekwa pembeni ili visitikisike na kugaribika mapema
 
Ni namna ya flani ya kutojua mpangilio wa vyumba na nyumba...
Tizama nyumba nzuri zote ama hotel nzuri vitanda vimewekwa katikati ya chumba kwa style nzuri, unaweza panda kitandani kutoka upande wowote
Tutumiage hata Google tu ama TV stations kujifunza namna ya kupamba nyumba zetu
 
Sababu ni kujaribu kubakiza nafasi kubwa zaidi.

Ila nahisi hii ni common kwetu waafrika labda na waasia.

Ila kwa Wazungu na katika mahoteli makubwa mengi wanaweka vitanda katikati ya chumba then unakuta chumba kina madirisha makuubwa kwaajili ya hewa safi.

Nimeona kwenye movies nyingi za marekani wanaweka vitanda katikati ya chumba.
 
Sababu ni kujaribu kubakiza nafasi kubwa zaidi.

Ila nahisi hii ni common kwetu waafrika labda na waasia.

Ila kwa Wazungu na katika mahoteli makubwa mengi wanaweka vitanda katikati ya chumba then unakuta chumba kina madirisha makuubwa kwaajili ya hewa safi.

Nimeona kwenye movies nyingi za marekani wanaweka vitanda katikati ya chumba.
umenishawishi
 
Na mimi ninaitaj kujua then nimueleze kwa nin mwanamke analala ukutani
Kwa sababu anahitaji ulinzi wa mwanaume,kwenye starehe mwanamke festi kwenye vita mwanaume festi ovaa mkuu.
 
Inategemea na ukubwa wa chumba. Mie changu kipo kati kati ya chumba.
 
Kinawekwa pembeni ili kupisha nafasi vikae na vitu vingine mkuu, hata nyumba ukijenga mbeneni utapata nafasi ya kuweka hata kakibanda cha kufugia kuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom