Recent content by Eco

  1. Eco

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Salute Kwa Wale Waliokwisha Oa Au Kuolewa. Tafadhali, Mliwezaje Kufanikisha Hilo.?

    Na mimi jamani!
  2. Eco

    JamiiForums Tanzania SWALI KWA WATU WA MANUNUZI SERIKALINI.

    Kiongozi kwanza kabisa utekelezaji wa mradi wa ujenzi hufuata, BOQ ambayo ndiyo inayo onyesha details zote za kazi zinazotakiwa kufanywa kwenye ujenzi wa hiyo barabara, pia malipo ya kazi ya ujenzi hufanywa baada ya kuwasilisha certificate ya kiasi cha kazi kilichofanyika hivyo kama kazi...
  3. Eco

    JamiiForums Tanzania Chanjo ya homa ya ini inapatikama kwenye Hospitali Kuu za Mkoa?

    Dodoma hospitali gani, mkuu?
  4. Eco

    JamiiForums Tanzania Kwa mara ya kwanza nimetua Dodoma leo

    Karibu sana katika mji mkuu, kiongozi. Ukimaliza majukumu yako sio mbaya ukazurula zurula tu hapa mjini na maeneo yake ya Pembezoni, unaweza mchukua boda akakuzungusha kisha akakurejesha eneo lako ukilofikia kwa namna flan utapata picha ya mji ulivyo siku nyigine ukija hutakuwa mgeni sana.
  5. Eco

    JamiiForums Tanzania Siku yangu ya Kwanza kupanda Lifti za kwenye maghorofa chamoto nilikipata

    Mkuu, ulikuwa unafanya nn hadi mlango wa Lift ukaja kubana Korodani?[emoji3][emoji3][emoji3]
  6. Eco

    JamiiForums Tanzania Sikushauri kununua Impreza subaru

    Mkuu, umemaliza kabisa Subaru Impreza ni miongoni mwa gari bora kabisa pia mafuta matumizi yake ni ya kawaida sana, nina wasiwasi kama mtoa hoja either amewahi miliki hii gari ama amewahi itumia. Hii gari ina option pia ya kuinua in case barabara yake sio rafiki na mafundi wapi lakini pia Dunia...
  7. Eco

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Waziri mpya mzalendo ashughulikie suala la umeme

    Swali zuri sana hili, Kiongozi. Inawezekana kuna baadhi ya watu hawapendi kuambiwa ukweli.
  8. Eco

    JamiiForums Tanzania Bucha za nyamapori zilizoasisiwa na Kigwangalla zimeishia wapi?

    Mkuu kwa Dodoma, Bucha la Nyama Pori lipo Soko la Ndugai. Unapata kitoeo safi cha Mnyamapori.
  9. Eco

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Gharama za kujifunza kuendesha gari

    Unapatikana wapi mkuu, Kama uko Dodoma kuna watu wanaitwa Trust Driving School watafute hutajutia mafunzo yao ya udereva, ni wabobezi.
  10. Eco

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Nani kakudanganya utashinda mechi bila mazoezi?

    Mazoezi ya mwili ni muhim sana kwa afya ya mwili pamoja na utimamu wa akili.
  11. Eco

    JamiiForums Tanzania UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Hii ni Tasisi ya Serikali Mkuu.
  12. Eco

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua kuhusu kozi ya procurement and supply

    Inahusiana na mambo ya Ununuzi na Ugavi.
  13. Eco

    JamiiForums Tanzania Uzalo Special Thread

    Ameingia Khabonina, Nina Zamdela wa isidingo
  14. Eco

    JamiiForums Tanzania Asanteni JF kwa ushauri, tayari nimepata gari

    Yaan! Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom