walikuyu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 572
- 1,188
Wakuu habari za jioni!,
Naomba niulize chanjo ya homa ya ini inapatikana kwenye hizi hospital kuu za mikoa kwa sisi tuliopo mikoani au hata kwenye hospital za wilaya? Na je vp gharama zake ni bei gani kwa mtu mmoja?
Kingine kwa watu wanaotumia bima! Je wanaruhusiwa kutumia bima ili kupata chanjo ya homa ya ini au lah?
Tafadhali mwenye kufahamu chochote basi aje atueleweshe.
Naomba niulize chanjo ya homa ya ini inapatikana kwenye hizi hospital kuu za mikoa kwa sisi tuliopo mikoani au hata kwenye hospital za wilaya? Na je vp gharama zake ni bei gani kwa mtu mmoja?
Kingine kwa watu wanaotumia bima! Je wanaruhusiwa kutumia bima ili kupata chanjo ya homa ya ini au lah?
Tafadhali mwenye kufahamu chochote basi aje atueleweshe.