Bucha za nyamapori zilizoasisiwa na Kigwangalla zimeishia wapi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,018
142,058
Dkt. Kigwangalla akiwa Waziri wa Maliasili na Utalii alianzisha bucha za Nyama pori na kuna Wakati tulikuwa tunauziwa pale kijiji cha Makumbusho.

Je, hizo bucha bado zipo?

Ninahitaji Nyama ya Swala au pofu.
 
Back
Top Bottom