Recent content by ECKON J

  1. E

    Riwaya: Hila

    daah ndo pombe yangu hii
  2. E

    Usilolijua kuhusu Pete za bahati

    Mshana leo kwakweli nimekupenda bure kabisa ,na uwe hivo siku zote waelekeze watu hayo mambo huku ukiwatia na hofu ya MUNGU , Ili mtu adetermine mwenyewe ,what is good to follow, MAana kipindi kile ulikuwa unawapatia hayo mambo moja kwa moja tu ,well done mshana ,nakuelewaga sana mkuu
  3. E

    Kauli zitakazomponza Magufuli na serikali yake

    Mbona mda bado usitake kila kitu kifanywe kwa pamoja mkuu ,atatimiza ahadi nafikiri , MH:JPM kaingia juzi tu hata miezi mitano haijaisha unataka kila kitu kiwe sawa , haaaaa how is come bro!!!
  4. E

    Hodi

    karibu mkuu
  5. E

    Wanaosali Jumuiya vs wacheza pool table, kuna tofauti?

    pepo tokaaaaaaaaaa kwa mtoa mada
  6. E

    Kadanganya ni mjamzito, kumbe anaweka matambara tumbo liwe kubwa

    aaaah hii chai kama chai zingine tu ,anazingua mkuu mme wake mjinga kiasi gani huyo asijue anaelala nae ije wewe!!
  7. E

    RIWAYA: Ripoti kamili

    yule mjuaji ndo amefurahi sasa na roho mbaya yake
  8. E

    RIWAYA: Ripoti kamili

    ana wivu tu huyo jamaa ,mzaramo shusha madude
  9. E

    Kaniambia ana ujauzito wangu wakati sijawai kulala nae

    ha ha hah hah hah hah kweli hii mpya yanajirudia mambo ya kina yusuph na mariam
  10. E

    New member

    karibu mwenyeji mgeni
  11. E

    Hellow

    karibu
  12. E

    Faini Tshs 300,000 kucheza pool table asubuhi

    kweli na iwe hivo mda wa asubuhi ni kutafuta pesa
  13. E

    Msaada: Nimuingie vipi huyu dada?

    fanya uwe unambeep uone kitakachotokea.
Back
Top Bottom