Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,276
Utaona ya Jumuiya.
hahahahahahahaha
Utaona ya Jumuiya.
Hata Trump anapingwa na kukejeliwa kwa kusema ukweli kuhusu Waafrika lakini baadae sisi wenyewe hukaa na kutafakari maneno yake na kujikosoa kimyakimya pengine tukimshukuru kimoyomoyo.Nilijua vichaa wapo milembe tu...
Ukimaliza wakatoliki utaanza na waislamu kwa nini siku nzima wanaswali swala tano
Hapa umechemka
Kwahiyo kama Ulaya hawasali jumuiya na watanzania wasisali jumuiya?
Kazi ipo .
Kila kitu unataka kianzie ulaya ,Kikianzia Afrika kibaya.
mkuu jumuiya zenyew watu wanasali jmoc asubuh saa 12 mpk saa moja asubuh then wanaelekea kwe shughuli zao sasa ni mda gani hapa unaopotea?utafananishje na pool table ambalo watu wanacheza kutwa nzima? labda kama ungeongelea swala la sadaka maana hilo ndo linaonekana limekuuma sana....watu mnazini kila cku hamuon shida ila kwenda kusali jumuiya eti kunachelewesha maendeleo!!Hivi hatuwezi kuishi pasipo kuwa na huu utaratibu wa kusali kwa jumuiya huku mitaani.Kusali makanisani hakutoshi mpaka tukutane kwenye majumba yetu siku za week-end na hata kila siku kwa baadhi ya maeneo kwa lengo tu la kusali kwa utaratibu huu wa Jumuiya?
Wanaocheza pool table wanatakiwa kukamatwa kwani wanapoteza muda wa kufanya kazi,je hawa wanaokutana saa 12 kila Jumamosi na kwa baadhi ya maeneo nasikia ni kila siku,huku si kupoteza muda wa kufanya kazi?
Hivi lengo la kusali Jumuiya si kukusanya sadaka tu?Nini kipya kinachofanyika katika hizi Jumuiya tofauti na makanisani kwetu?
Alafu hivi mtu unawezaje kushiriki kwenye Jumuiya hizi lakini ukashindwa kushiriki mikutano ya kijiji/mtaa kwa maendeleo ya kijiji/mtaa wako?
Kama hizi Jumuiya ni muhimu sana,kwanini adhabu hizi za kijamii tunazozitoa kwa watu wasioshiriki Jumuiya hizi pia tusizitoe kwa wale wasioshiriki mikutano ya maendeleo ya mitaa au vijiji vyetu kwani hata hii mikutano nayo ni muhimu pia?
Nyinyi mnaotetea Jumuiya hizi niambieni ni lini mlikutana katika Jumuiya zenu hizi na kisha mkaongozana huku mkiwa mbeba sadaka zenu na kwenda kuwahudumia wagonjwa au makelekezo sadaka zenu hizo kuhudumia yatima?
Utaratibu huu nimeuona hapa Dar leo hii nikakumbuka na huko mikoani hali ni hiyo hiyo hivyo nikajikuta najiuliza haya maswali.Alafu katika nchi za wenzetu mambo haya yanafanyika?Nina hakika miaka ijayo haya mambo yatakuja tu kutoweka maana sioni ulazima wake.
Mkuu ni maharage ya wapi umekula? Maana naona utumbo tuu umeuandika hapa... Hivi unajua maana ya jumuia? Nawasiwasi hata kanisani hauendagi ww... Acha viroba sio vzuri kwa afya ya akili yako.Hivi hatuwezi kuishi pasipo kuwa na huu utaratibu wa kusali kwa jumuiya huku mitaani.Kusali makanisani hakutoshi mpaka tukutane kwenye majumba yetu siku za week-end na hata kila siku kwa baadhi ya maeneo kwa lengo tu la kusali kwa utaratibu huu wa Jumuiya?
Wanaocheza pool table wanatakiwa kukamatwa kwani wanapoteza muda wa kufanya kazi,je hawa wanaokutana saa 12 kila Jumamosi na kwa baadhi ya maeneo nasikia ni kila siku,huku si kupoteza muda wa kufanya kazi?
Hivi lengo la kusali Jumuiya si kukusanya sadaka tu?Nini kipya kinachofanyika katika hizi Jumuiya tofauti na makanisani kwetu?
Alafu hivi mtu unawezaje kushiriki kwenye Jumuiya hizi lakini ukashindwa kushiriki mikutano ya kijiji/mtaa kwa maendeleo ya kijiji/mtaa wako?
Kama hizi Jumuiya ni muhimu sana,kwanini adhabu hizi za kijamii tunazozitoa kwa watu wasioshiriki Jumuiya hizi pia tusizitoe kwa wale wasioshiriki mikutano ya maendeleo ya mitaa au vijiji vyetu kwani hata hii mikutano nayo ni muhimu pia?
Nyinyi mnaotetea Jumuiya hizi niambieni ni lini mlikutana katika Jumuiya zenu hizi na kisha mkaongozana huku mkiwa mbeba sadaka zenu na kwenda kuwahudumia wagonjwa au makelekezo sadaka zenu hizo kuhudumia yatima?
Utaratibu huu nimeuona hapa Dar leo hii nikakumbuka na huko mikoani hali ni hiyo hiyo hivyo nikajikuta najiuliza haya maswali.Alafu katika nchi za wenzetu mambo haya yanafanyika?Nina hakika miaka ijayo haya mambo yatakuja tu kutoweka maana sioni ulazima wake.
Salary Slip!! Ndugu yangu umejiacha uchi sana. Nilidhani umekaa vizuri upstairs lakini kumbe si hasa. Pole sana . Njia rahisi wewe kama ni mkristu/mkatoliki na hupendezwi na huo utaratibu unaweza tu kutafuta dhehebu jingine ambalo hutapata shida hiyo ya kijumiya. OK?Mikutano ya mitaa/vijiji hamshiriki ila Jumuiya ndio muhimu zaidi huku kila siku tukilia umasikini.Tutafika?Kwanini hizi Jumuiya zisifanywe kimtaa wala mara moja kwa wiki kuliko kuzunguka nyumba hadi nyumba kila week-end?Tujali muda.
Poa lot easier. with w kkkkkkj I was k k I juu jjj even job. It ijujj kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkokkkokokkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkookokkkk I I have oiiojooiioiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiioooiooooiiioooiiooooiiiiiiiiiiioooooooiiiiiiiiiiiiiiojjjMikutano ya mitaa/vijiji hamshiriki ila Jumuiya ndio muhimu zaidi huku kila siku tukilia umasikini.Tutafika?Kwanini hizi Jumuiya zisifanywe kimtaa wala mara moja kwa wiki kuliko kuzunguka nyumba hadi nyumba kila week-end?Tujali muda.
Katika yote usicheze na imani za watu za kidini. Trump pamoja na kuropoka sana anatamba yeye ni mtu wa dini sana na hatumii kilevi.Hata Trump anapingwa na kukejeliwa kwa kusema ukweli kuhusu Waafrika lakini baadae sisi wenyewe hukaa na kutafakari maneno yake na kujikosoa kimyakimya pengine tukimshukuru kimoyomoyo.
Wewe utakuwa ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa... Umeitisha mkutano watu hawajaja unamalizia hasira zako jumuiya....Mikutano ya mitaa/vijiji hamshiriki ila Jumuiya ndio muhimu zaidi huku kila siku tukilia umasikini.Tutafika?Kwanini hizi Jumuiya zisifanywe kimtaa wala mara moja kwa wiki kuliko kuzunguka nyumba hadi nyumba kila week-end?Tujali muda.
Labda ungesema kwanza nn tuna achieve kama jamii kwa kwenda kusali au kuswali.... Maana jumuiya ni sehemu ya kusaliNiambienii kuna nini cha maana tunacho-achieve kama jamiii ambacho bila kukaa katija hizo Jumuiya kingeshindikana?
Nijibuni sio kutoka povu.