Recent content by durant

  1. D

    Wazee wa katuni za channel 10 miaka ya 2009-13 TUKUTANE

    top cat matty the dog
  2. D

    Picha: Hatimae nimejinasua kwenye penzi la kitumwa

    huku kuachana bado nina walakini, yani mnakaa kikao mnakubaliana kabisa kama mmoja anasafiri mwingine kamsindikiza stand ,kirahisi tu ,basi sawa mambo ni mengi nyakati hizi
  3. D

    Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    duuh jamaa sahivi wazo la kuwahi mbele za haki limekwisha muisha naona mmemsaidia kumtoa kwenye reli, seleman kapige gambe maisha yaendelee kama ulivyoahidiwa, mtoto wako mpe kipaumbele kabla hujajiwazia hata wewe.
  4. D

    Wana Simba SC tumetamba vya kutosha huenda kuanzia leo nao Wakatamba kwa kutuacha kwa Alama (Points) Mbili (2)

    Duh kuna watu siyo wa kupuuzwa, akisema jambo ni kulipima kwanza halafu ndio maoni yaje na si kukurupuka
  5. D

    Billnass amzawadi Nandy gari ya ndoto yake, amwandikia ujumbe mzito mumewe

    Haya mambo yanafanya huku mtaani tuzidi kuonekana hatuna hela
  6. D

    Kwa mujibu wa mzee Magoma Yanga ule sio uwezo wao bali wa wazee

    Hao wazee waache kutudanganya kila siku, wanashindwa nini kuisaidia Taifa stars tuchukue hata afcon ikibidi World cup kama nguvu hizo wanazo na zinafanya kazi,kazi kuwaaminisha watu kuhusu imani zao mbovu na za kijinga kuhusu ushirikina, Ila sishangai sana maana kuna tafiti moja kama sijasahau...
  7. D

    Jifunze mambo 40 ambayo ni ya kweli na uhakika

    hiyo namba 20 kweli mimi mwenyewe kuna library niliondoka navyo vitabu viwili
  8. D

    The Most Famous ID In The Forum.

    Hapa kwenye hii thread itakuwa anasoma tu comments anatucheki tunavyomjadili nadhani atakomenti tu baadaye Heshima yako popote ulipo jove
  9. D

    The Most Famous ID In The Forum.

    Na ile picha ya kale katoto kana sura ngumu ngumu hivi Basi nikiona tu hiyo picha attention inaongezeka najua ni jove
  10. D

    Wale waliosoma advanced physics, subtopics gani zilikusumbua sana?

    Mimi kwangu subtopic moja tu ndiyo iliyokuwa inanisumbua Rotational motion Kitambo sana
  11. D

    Wapigaji Wangu Hatari wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Wa muda wote

    Kuna mtu alikua anaitwa Basinas Alikuwa anakipiga club moja jina limenitoka lakini hiyo club inatokea Uturuki
  12. D

    Kamanda Sirro awajibu waliosusia maiti ya kijana aliyeuawa akihisiwa kuwa jambazi

    Usichokijua unaweza andika chochote kwa utashi wako lakini ni ukweli jeshi letu lilifanya makosa na ni vizuri wakaomba msamaha japo kwao ni vigumu Marehemu namjua nje ndani na kwenye tukio yeye alikua na harakati zake akakatisha pale bank sasa polisi wakahisi wanavyohisi wao na wakimuangalia...
Back
Top Bottom