Wapigaji Wangu Hatari wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Wa muda wote


Sawa mkuu.huo ni mtazamo wako

Diego atabakia kuwa Maradona

Na leo atabakia kuwa Messi.

Hawana mpinzani
 
Hawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie Kambani.

JUHIHNO PERNAMBUCANO...Huyu alikua kijana wa kibrazili akicheza pale ufaransa klabu ya Olympique Lyonnais alikua hatari sana kwa dead ball.

SHUNKUKE NAKAMURA...Huyu alikua kijana wa Kijapani akikipiga pale Celtic ya Uskochi Makipa walikua wanajua shughuli yake naye alikua hatari sana kwa dead ball.

Hao ndo Mafundi Wangu wataalamu wa kupiga dead ball kuwashuhudia katika soka wakifuatiwa na akina David Berckam,Ronalddihno na hawa akina Messi kwa kizazi cha sasa.View attachment 489460View attachment 489461
Beckham kwa kuwa alikuwa wa England that's why kaonekana, juninho wa Lyon huyo jamaa nilikuwa namfaid kwenye champions league, wenzie walikuwa wanampa assist kwa kutafuta faulo kwenye maeneo yake!
 
Kuna mtu alikua anaitwa Basinas
Alikuwa anakipiga club moja jina limenitoka lakini hiyo club inatokea Uturuki
 
Shiza kichuya kwa sasa hana mpinzani ndani ya Bongoland...Robert Carlos anapiga krosi matata huku Zinedine Zinade akimaliza kazi kwa bao zuri huku Bayern Leverkusen wakipigwa na butwaa....Luis Figoooo huyu naye hakuwa nyuma....Beckham,Dihno na Junihno hawa wanajua...
 
Ongeeni yote ila kama hamjui basi mjue. Kwenye dead balls Mungu wa soka Diego Armando Maradona hakuwahi kuwa na mpinzani. Hao mnaowataja wooote ni kizazi cha juzi tuuu

Ngoja nikupe like za kumwaga mzee.yaani umenena vilivyo mkuu
 
Back
Top Bottom