And make up for ya bi*ch.Najiona MIMI...internationaly...overtakn walee...i see no body else...afterroll "I Dont wanna be FAMOUS.! I JUST Wanna Be RICH" makn millions an buyn some acres...
Nipo nimebadili ID My sister sorryMy kaka popote ulipo
Cc:Joseverest
Na ile picha ya kale katoto kana sura ngumu ngumu hiviNadhan kinachomponza mpaka mkapata attention ya kumfatilia ni style ya kubold maandishi yake bila hivyo msingemfahamu
Hapo hata mimi ananishangaza....kuna muda huwa nahisi ni computer maana sio kawaida asee..Ngoja aje naona hapa kachelewa kidogo mi mwenyewe huyo jamaa ananishangaza mno nyuzi nyingi wakwanza Ku reply .Nahisi atakuwa ni moja ya maajabu ya jf
No way hata angekua anaandika kwa pencil jamaa ni phenomenal ....mimi binafsi nahisi joseverest ni Moderator mkuu yaani anaoversee kila jukwaa na ni boss wa akina paw invisible na wenzakeNadhan kinachomponza mpaka mkapata attention ya kumfatilia ni style ya kubold maandishi yake bila hivyo msingemfahamu
Nadhan kinachomponza mpaka mkapata attention ya kumfatilia ni style ya kubold maandishi yake bila hivyo msingemfahamu