kuna movie ya kihindi inahusu jamaa mmoja akiw na rafik zake, jamaa anampend demu wa kishua...bt demu alikuw anamringia, ilifikia jamaa alivua nguo barabaran baada ya kudanganyw na rafik wa yule demu kuw akitak kumpata rafik yake avue hadharan...mwishow jamaa anakuw mwanamzik mkubwa na kuunda...
duh kupenda kubaya yaan leo zito kawa mbaya?! Kwhy cku akisimamishwa mnyika mtamuona tena nae mbaya...basi na wasiwasi na viongoz wa chadema maybe wote wabaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.