kaka nimeifanyia restore ila bado inaendelea kufanya hivyohivyo.sijui sasa itakuwa tatizo nini?ifanyie restore,
kama password unazijua kama huzijui, ni 12345
kama ulinunua kitaa ukaona password znagoma ujue wali badirisha wajanja, ila ifanyie restore!
kaka nimeifanyia restore ila bado inaendelea kufanya hivyohivyo.sijui sasa itakuwa tatizo nini?