Jamani suala la mshahara linategemeana na makubaliano kati ya mwajiliwa na mwajili. Kwahiyo we tafuta nafas ya kazi ukipata, nenda karipoti utapewa mkataba utaangalia kama mshahara unakutosha poa.
Kwa facult nyingine wanamwongozo maalumu TGTS ila privates hulipa kwa makubaliano kama nilivyodadavua hapo juu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.