Waje tu tuwatagishe,hatukumbatii ujinga sisi.
Ningefurahi kama hao mateka wangekatwa vichwa...
labda wanadhani ni moshi wa sigara
Kweli upendo ungalikuwepo hali hii isingalikuwepo
Hiyo ni kawaida, ukiwa nje ya uwanja Magoli yanakuwa mengi. Ingia uone kimbembe chake. Tuwape moyo hao Askari waokoe wenzao badala ya kudhani sisi ndo tunaweza na wao hapanaSiku tatu yaani masaa 72 bado wanapambana...Poleni :- Al-Shabab walifikaje hapo katikati ya Nairobi na Kenya in general maana wameacha mipaka na miji yote na kutinga NBR. itakuwaje Kenya ilidharau ONYO la shabab...? Nasikia CIA FBI na ISRAEL agents wameingia katika uwanja wa mapambano security forces zinashindwa nini na vijana 9 au 10 ...! Halafu tatizo ni mchana kweupe wanashindwa nini ?
Kiswahili kazi kweli kweli. Unamaanisha watekaji au mateka? Maana mateka ni watu waliotekwa. Hebu some kwa vizuriSio kukatwa vichwa, ni kukatwa viungo kila baada ya siku moja mpaka umauti uwafikie
inna lillah wainaillah rajiuun
Hawa jamaa ni wanaume kweli kweli wako 10 wanaisumbua nnchi nzima ya Kenya
wakome kuwa viherehere kuingilia mambo yasiyiwahusu
Alshabab 1 nisawa nawanajeshi elfu moja Wa kenya
Sa kwanini wasipambane na Wanajeshi wanaua wananchi?
Tena ni msiba mzito ndugu yangu. Hapa mpaka waislamu wanachanyikiwa. Sasa unaposema watu wakatwe kichwa ili upate faida gani?
Vita havina macho mkuu! Kenya wapo vitani na Alshbaab hilo tusilisahau. Hao raia wangepaza sauti zao kupinga jeshi lao lisiende Somalia nadhani hayo yasinge wakuta. Lakini ndio hivyo tena mtenda akitendewa hujihisi kaonewa. Wakenya lieni kimyakimya,mlionywa mkapuuza.
Hongereni alshaabab hata sisi waislam watz tunaonewa Sheikh wetu ponda amefungwa tunaomba msaada wenu njooni nahuku pia
Mabikira 72 na Tende
Sio kukatwa vichwa, ni kukatwa viungo kila baada ya siku moja mpaka umauti uwafikie