Wakuu gari yangu ni Nissan Note, kuna wakati ikizimwa haiwezi kuwaka mpaka nipate msaada wa ku boost kwa betri nyingine. Lakini ikiachwa mpaka ipoe kabisa mfano ni kuiacha usiku kucha asubuhi inawaka bila shida. Betri ni nzima na inaonesha alama ya uzima (kijani). Nini laweza kuwa tatizo?
Mkuu mimi si mtaalamu wa nyangumi lakini kwa uelewa wangu kwa viumbe wengine kama binaadamu kunakuwa na kikomo cha ukuaji (kuongezeka kwa mwili) unapofikia umri wa miaka kadhaa. Na haimaanishi unapofika kikomo cha ukuaji basi mtu hufa, la hasha unaendelea kuishi kwa miaka kadhaa zaidi bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.