somo zuri sana, ahsante mleta mada.
SASA KWENYE HIYO PCHA UNAZUNGUMZIA UPANA WA TAIRI AU UREFU WA TAIRI , maana kwenye picha zako tofauti ipo kwenye upana wa tairi na wala sio urefu.Kuna mambo kadhaa ya kuangalia baadhi ni
1. Size ya matairi. Matairi madogo husababisha injini kuzunguka zaidi.
2. Uendeshaji. Ukikanyaga sana xrator hupelekea rpm kuwa juu na ulaji mkubwa wa mafuta.
3. Air cleaner iliyochakaa
4. Umri wa gari nk
upana unamaanisha nii mkuu, is it Rim Size au upana wa TairiNi hivi.
Kwa umbali ule ule, tairi ndogo inaweza kusoma km 115 na tairi kubwa ikasoma km 100.
Na speedometer mwenye tairi ndogo inaweza kusoma 140 km/h wakati tairi kubwa ikasoma 120 km/h.
Hivyo basi, ukiunganisha factors za mechanical advantage, distance covered, na rpm mwisho wa siku tairi yenye diameter kubwa ina save fuel kuliko yenye diameter ndogo.
Hapo umegusia tairi ndogo under the same rim size, je ukiweka tairi kubwa under the same rim size vp na lenyewe itakuwa inakula mafuta au inaserveNaizungumzia hivi;
Tairi kubwa na ndogo under the same rim size and the same vehicle specifications.
Ukiweka tairi ndogo kuliko specifications za gari yako utakuwa unajila mafuta na pia itakudanganya distance na speed.
Mfano ukitembea km 100 inaweza kukwambia umetembea km 110.
Na ukiwa spidi ya 120km/h inaweza kukwambia upo spidi ya 130km/h.
Hivyo basi, tairi size inatakiwa kuzingatia specifications za gari.
rear wheel drive ndio nn mkuu..Walikwambia hivyo kwa sababu gari yako ni rear wheel drive na ushauri huo ni sahihi.
Msinione kimya mie nameza tu hapa leo. na hii inanihusu zaidiHii ni dangerous warning light. Inaonyesha computer ya gari yako ime-detect something wrong which need attention. Kuna vitu vingi sana vinaweza sababisha taa hiyo kuwaka. Baadhi yake ni kama hivi:-
- Evaporative Emmission Control System ina matatatizo (Mfano tenki lako la mafuta halina mfuniko au mfuniko wako haufungi vizuri, Catalytic converter ni mbovu, Charcoal Canister ni mbovu, nk
- Exhaust Gas Recirculation (EGR) system Failure (Mfano EGR valve imestark open au imestark closed, etc)
- Oxygen Sensor imefeli
- Crankcase Ventilation System imefeli
- Crankshaft Position Sensor imefeli
- Air fuel Mixture yako is too Rich au too lean (Hii ina maana kwamba mchanganyiko wa mafuta na hewa unaoingizwa kweye combustion chambers either una kiwango kikubwa cha mafuta kuliko hewa au una kiwango kikubwa cha hewa kuliko mafuta. Hii inaweza sababishwa na uchakavu wa nozzle au fuel filter imeziba kutokana na kujaa uchafu, nk
- Throttle Position Sensor imefeli na hivyo haipeleki signal sahihi kwenye computer ya gari
- Knock Sensor failure, etc
Kwa kifupi kuna mambo mengi yanayoweza sababisha CHECK ENGINE LIGHT iwake. Kuna baadhi ya gari inapowaka hiyo taa kuna error code number huwa inaapia kwenye dashboard kwa urahisi wa kufahamu tatizo. Aidha, kwa gari ambazo zinawaka taa peke, error code huwa inajirekodi kwenye computer ya gari na ili kuifahamu inabidi uipeleke gari garage ili computer ya gari iwe scanned na scan tool kuipata hiyo code na hatimae waweze kuitafsiri na kujua tatizo.
Sometimes ukichelewa kupeleka gari garage tatizo moja linaweza kuzalisha tatizo lingine na hivyo kupelekea zaidi ya error code moja being stored in the computer.
Mfano kama tatizo ni Nozzle/Injectors kushindwa ku-withstand fuel pressure na hivyo kuachia mafuta mengi kuingia kwenye combustion chambers kuliko inavyopaswa, kutokana na hali hii Oxygen sensor will detect moshi wako wa gari una-contain a lot of unburned fuel gases kwa muda mrefu na hivyo kupelekea taa ya CHECK ENGINE iwake. Kama ukichelewa kupeleka gari kwa fundi may be kwa zaidi ya wiki mbili maana yake utakuwa unaibebesha Catalytic Converter mzigo wa ziada wa kuharibu unburned fuel gases kwa kwa muda mrefu ili usiingizwe kwenye atmosphere. Hali hii itapelekea Catalytic Converter kupata joto kali kwa muda mrefu na hatimae na yenyewe kufeli na mwishowe error code yake na yenyewe kurekodiwa kwenye computer.
So unaweza kuta unatibu magonjwa mengi ambayo kimsingi yamesababishwa na gonjwa moja la awali. Na usipopata fundi mzuri kutibu magonjwa yote kwa mpigo unaweza shangaa ameteneza gari leo keshokutwa taa inarudi kuwaka tena.
Hii ni dangerous warning light. Inaonyesha computer ya gari yako ime-detect something wrong which need attention. Kuna vitu vingi sana vinaweza sababisha taa hiyo kuwaka. Baadhi yake ni kama hivi:-
- Evaporative Emmission Control System ina matatatizo (Mfano tenki lako la mafuta halina mfuniko au mfuniko wako haufungi vizuri, Catalytic converter ni mbovu, Charcoal Canister ni mbovu, nk
- Exhaust Gas Recirculation (EGR) system Failure (Mfano EGR valve imestark open au imestark closed, etc)
- Oxygen Sensor imefeli
- Crankcase Ventilation System imefeli
- Crankshaft Position Sensor imefeli
- Air fuel Mixture yako is too Rich au too lean (Hii ina maana kwamba mchanganyiko wa mafuta na hewa unaoingizwa kweye combustion chambers either una kiwango kikubwa cha mafuta kuliko hewa au una kiwango kikubwa cha hewa kuliko mafuta. Hii inaweza sababishwa na uchakavu wa nozzle au fuel filter imeziba kutokana na kujaa uchafu, nk
- Throttle Position Sensor imefeli na hivyo haipeleki signal sahihi kwenye computer ya gari
- Knock Sensor failure, etc
Kwa kifupi kuna mambo mengi yanayoweza sababisha CHECK ENGINE LIGHT iwake. Kuna baadhi ya gari inapowaka hiyo taa kuna error code number huwa inaapia kwenye dashboard kwa urahisi wa kufahamu tatizo. Aidha, kwa gari ambazo zinawaka taa peke, error code huwa inajirekodi kwenye computer ya gari na ili kuifahamu inabidi uipeleke gari garage ili computer ya gari iwe scanned na scan tool kuipata hiyo code na hatimae waweze kuitafsiri na kujua tatizo.
Sometimes ukichelewa kupeleka gari garage tatizo moja linaweza kuzalisha tatizo lingine na hivyo kupelekea zaidi ya error code moja being stored in the computer.
Mfano kama tatizo ni Nozzle/Injectors kushindwa ku-withstand fuel pressure na hivyo kuachia mafuta mengi kuingia kwenye combustion chambers kuliko inavyopaswa, kutokana na hali hii Oxygen sensor will detect moshi wako wa gari una-contain a lot of unburned fuel gases kwa muda mrefu na hivyo kupelekea taa ya CHECK ENGINE iwake. Kama ukichelewa kupeleka gari kwa fundi may be kwa zaidi ya wiki mbili maana yake utakuwa unaibebesha Catalytic Converter mzigo wa ziada wa kuharibu unburned fuel gases kwa kwa muda mrefu ili usiingizwe kwenye atmosphere. Hali hii itapelekea Catalytic Converter kupata joto kali kwa muda mrefu na hatimae na yenyewe kufeli na mwishowe error code yake na yenyewe kurekodiwa kwenye computer.
So unaweza kuta unatibu magonjwa mengi ambayo kimsingi yamesababishwa na gonjwa moja la awali. Na usipopata fundi mzuri kutibu magonjwa yote kwa mpigo unaweza shangaa ameteneza gari leo keshokutwa taa inarudi kuwaka tena.
Ingekuwa vizuri angeweka na ile inayoonesha tairi limetengenezwa lini na lina expire lini au baada ya muda gani. Maana nasikia tairi linakuwa na uhai wa mika 4 toka linapotengenezwa. Hivyo mtu anaweza kununua tairi jipya kumbe toka limetoka kiwandani lina miaka 4 au zaidi halafu akashangaa akifunga kwenye gari baada ya muda mfupi linapasuka. Wengi hawana utaalamu wakusoma maandishi na maana zake katika matairi.Ombi kwa MoDs.
Topic hii ibaki hapa kwa faida ya wana JF
Hii hapa mtumishi tulia na uisome kwa makini itakusaidia.wadau naombeni mnijuze na mimi matumizi sahihi ya overdrive ikiwa on au off
Nataka kujua namna ya kujua expire date za matairi ya magariMwenye kujua title yake tafadhali anipatie nijifunzi zaidi
Mwenye kujua tafadhali anitaarifu
i thought its was L for sloping to reduce your brake pads friction...You can use the 2nd gear while going down a steep downgrade to save your brakes from overheating. I would not use 1st gear downhill unless you must drive very slowly (< 25 mph.)
Going downhill in a low gear lets you use the engine as a brake itself. The engine is throttled back to idle, fuel flow to the engine is cut back, and the car's momentum applies power to the wheels, transmission and crankshaft, letting the pistons work like air pumps to compress air and slow the entire car with occasional use of wheel brakes. It's a good technique to learn how to use.
WE JAMAA NI KICHWA HATARI SANAHakuna kipya hapa nisichokifahamu ndugu zangu. Terrain Management System ni mfumo maalum kwa ajili ya ku-adjust engine torque, road traction na all wheel drive system ili kukabiliana na mazingira magumu ya Barabara (Mfano mazingira ya matope, barafu, mchanga, changarawe, nk).
Aidha, Drive by Wire, Brake by Wire, Throttle by wire, Steer by wire, etc hizi ni tecknolojia za hali ya juu sana ya utengenezaji wa magari ambazo zina-attemp ku-withdraw mechanical means for controlling and maneuvering the cars. Mfano kwenye Brake by Wire system ni mfumo ulioletwa ili ku-elliminate the need of having hydralic fluid, power buster, master cylinder, fluid line, brake cable na vitu vingine vinavyoambatana na hydraulic na air brake system.
However, hiyo mifumo yote ambayo kwa pamoja inaitwa 'Control by Wire' inapata challenge katika dunia ya sasa ya ushindani kwa sababu ya utengenezaji wake kuwa wa gharama hivyo kupelekea Bei ya Gari kuwa juu sana. Pia kuna challenge wanasanyansi wanakabiliana nayo ya jinsi ya ku-install safety trouble mode ili kuokoa uhai wa abiria inapotokea system zimefeli na Gari lipo barabarani kwa mwendo wa kasi.