Sijui niseme nini hasa!, lakini kuna watu wanakesha wakiomba, wakiamini hawa ni ndugu zetu tu, shetani kawaingia, wanakesha kuwaombea wabadilike, wakati wao bila huruma wanatumaliza, wanaifilisi nchi, wao, wanatuona sisi mafala tu, kwa kweli watu wachukue hatua nyingine, hawa watu kwa sala...