Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Jamani nauliza: Inakuwaje inakuwa vigumu kwa wananchi kujikomboa kutoka makucha ya 'wakoloni weusi' kuliko kutoka kwa 'wakoloni weupe?'
Nakumbuka ilichukuwa miaka michache tu kwa wananchi kuikomboa nchi hii kutoka kwa wakoloni wa kiingereza, lakini sasa hivi ni vigumu sana kujikomboa kutoka kwa hawa 'weusi' ambao miaka 50 baada ya uhuru, wamegeuka kuwa ni sawasawa tu na wale 'weupe' au hata wabaya zaidi.
Nakumbuka ilichukuwa miaka michache tu kwa wananchi kuikomboa nchi hii kutoka kwa wakoloni wa kiingereza, lakini sasa hivi ni vigumu sana kujikomboa kutoka kwa hawa 'weusi' ambao miaka 50 baada ya uhuru, wamegeuka kuwa ni sawasawa tu na wale 'weupe' au hata wabaya zaidi.