Recent content by domo kubwa

  1. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Je nisome master's degree ya ualimu au isiyo ya ualimu

    Ulichowaza na kufikiria ndicho kinachonifikirisha ata mimi mkuu
  2. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Inafunguka chief labda ujaribu kurefresh
  3. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded CHAKUHAWATA wawageuza Walimu upatu, wagawana Tsh. Milioni 400 za Wanachama

    Vyama vyote hivi vipo kwa ajili ya kumnyonya mwalimu hakuna yoyote ya maana wanayofanya kumsaidia mwalimu
  4. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Waungwana samahani na mimi naomba kuuliza kwa mtu mwenye mshahara ngazi ya tgts D3 anapokea kiasi gani baada ya makato yote
  5. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Jaman wakulungwa wenzangu samahanini kuna codes zimenitoa knock out Unknown ,,Mzee Tembo,,business partner na mr anonymous Nisaidieni wakulungwa Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
  6. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Ijue nyota yako: Fahamu mengi kuhusu nyota yako

    Mkuu naomba kujua mambo haya endapo nyota ya cancer na aquarius wakiwa mahusianoni Kazi Biashara Maisha kwa ujumla wake Mahusiano yao
  7. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Mfalme wa Saudi Arabia abadilishiwa 'betri moyoni' na anaendelea vizuri baada ya opereshen

    Kwa hiyo ulimaanishaje kwa hapa kwetu Tanzania [emoji23][emoji23]
  8. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Siri na fumbo la kifo (Dini & Sayansi) tukishakufa tunakwenda wapi?

    Kifo ndio ndoto ambayo kila mtu ataitimiza Pia kuna maisha baada ya kifo ambayo ni either peponi kwa waliofanya ibada ipasavyo na mema pia kuna moto kwa walioishi kwa kutenda maovu na kufa bila kutubu dhambi zao Hayo mengine ni propaganda za Sayansi na wasioamin uwepo wa Mungu
  9. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Swali gumu aliloulizwa Rais Samia nchini Marekani

    Kwa Tanzania ukiwa na wafuasi wengi,, ukiwa na chawa wengi na ukiwa unajua kuongea vizur kwa kupangalia maneno ya kulainisha wananchi even elimu darasa la saba aah utapata tu uongozi
  10. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Lembeli: Muhongo anaiangamiza CCM

    Nchi hii ukiwa mtu sahihi utapigwa vita mpaka dunia uione chungu ukiwa fedhuli utapata back up ya kutosha kutoka kwa wafujaji mali za wananchi
  11. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    #Yoga pitia chini kwa muhasibu kuna kibahasha chako leo unywe thupu ili ukija ukuye na nguvu nene
  12. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Nani kubeba kombe Champions League, Pia nani atabeba Europa League

    Hakuna wa kumsimamisha Chelsea apo,, na Chelsea atakutana na Madrid kama historia ya Chelsea kukutana na timu za Spain inavyojieleza kipind cha De Matteo
  13. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Magufuli kwa heri, hukustahili kuwa Rais

    [emoji2][emoji2][emoji2] bwana Yoda
  14. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Magufuli kwa heri, hukustahili kuwa Rais

    Huwezi kumnufaisha kila mtu dunian Mzee alikuwa sahihi kusema vijana tujiajiri Ushajiuliza vijana wangap wanahitim vyuo vikuu, na serikalin huwa zinatoka nafas ngap za kazi, imagine wahitim wote tuajiriwe, ushajiuliza jioni wap nchi ingetoa pesa za kuwalipa waajiriwa wote Vijana tujiajiri ili...
  15. domo kubwa

    JamiiForums Tanzania Faida 6 za kufanya mapenzi katika mahusiano

    Imepenya iyo
Back
Top Bottom