Recent content by Dolla7

  1. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Ndoto hizi ndio hatima ya maisha yangu?

    Wanasema kuwa ndoto ni maaono ya jambo litakalotokea au lilillokwesha tokea. Ila kwangu imekua nitofauti, nilivyotafsiri katika ndoto zinazonisumbua miaka hazi timii. Nimenda kwa shehe zaid ya wawili wakanitafsiria, lakini walio nitafsiria na kunitabiria sioni yakitimia Naombeni mnisaidie...
  2. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kukomba Wawekezaji na Wafanyabiashara wakubwa wa Kimarekani kuja kuwekeza Tanzania

    Hali ya sasa ni njema ukilinganisha na wakati gani? Kwenu umeme upo masaa 24 toka lini? Kwa siku ngapi? Mwekezaji gani mwenye akili timamu awekeze kwenye nchi umeme unategemea mvua? Maji ya mgao wakisubiri matatizo yao kutatuliwa kwa kuombu Mungu?
  3. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tupe Link Sent from Rock City JamiiForums mobile app
  4. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimefuatilia ila sipata kuelew n nimemtext inbox hakunijib naomba unielewesh
  5. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sasa hiyo saa 21/ 3 usiku inakuaje ya kumi au unahesabuje
  6. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Nini tofauti ya OPERATION na MISSION katika Intelijensia?

    Mm niavyojua operation nikutekeliza/kufanya jambo kwa mda mfupi linaweza kufanyika kwa siri ama kwa uwazi mission ni kutekeleza/ kufanya jambo kwa mda mrefu linaweza likatekelezwa kwa siri ama wazi Lakini yote kukamikisha/kufikia malengo flani
  7. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Hivi pantoni ni Meli au si meli?

    Kwa haya majibu ndo utajua tofauti ya jamiiforum ya 2005 na ya sasa
  8. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tunapumlia na kichwa hapa
  9. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Ss
  10. Dolla7

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mtafukuza wangapi? Tazameni mlipojikwaa na sio mlipoanguka

    Kwani ubora wa chama nikutofukuza wanachama wake, Alafu tangulini mpenzani akukupa mbinu ya kumshinda? Kaani mtulie dawa iwaingie
  11. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Tuna cha kujifunza na Uchaguzi wa Marekani?

    [emoji44][emoji44]
  12. Dolla7

    JamiiForums Tanzania 10 African Proverbs You Should Never forget

    [emoji41][emoji41]
  13. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Tigo kwa matangazo ya biashara mnatisha!

    Mimi silipendi lile tangazo
  14. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Je, kutumia simu ya mkeo pia ni kosa kisheria, maana haijasajiliwa kwa jina lako?

    Nasubiria majibu hapa watalamu njooni huku mfafanue
  15. Dolla7

    JamiiForums Tanzania Je tukubaliane na kauli kwamba ngozi nyeusi tumelaaniwa?

    Mkataa kwao ni mtumwa, tushaikana asili yetu unategemea nini? Namber 7
Back
Top Bottom