Wanasema kuwa ndoto ni maaono ya jambo litakalotokea au lilillokwesha tokea. Ila kwangu imekua nitofauti, nilivyotafsiri katika ndoto zinazonisumbua miaka hazi timii.
Nimenda kwa shehe zaid ya wawili wakanitafsiria, lakini walio nitafsiria na kunitabiria sioni yakitimia
Naombeni mnisaidie...
Hali ya sasa ni njema ukilinganisha na wakati gani?
Kwenu umeme upo masaa 24 toka lini? Kwa siku ngapi?
Mwekezaji gani mwenye akili timamu awekeze kwenye nchi umeme unategemea mvua? Maji ya mgao wakisubiri matatizo yao kutatuliwa kwa kuombu Mungu?
Mm niavyojua operation nikutekeliza/kufanya jambo kwa mda mfupi linaweza kufanyika kwa siri ama kwa uwazi mission ni kutekeleza/ kufanya jambo kwa mda mrefu linaweza likatekelezwa kwa siri ama wazi
Lakini yote kukamikisha/kufikia malengo flani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.