Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,672
- 2,696
Hata Mtume wa ile dini ya Waarabu alijiita Mzungu.
Mmmmmmmh mtume yupi huyo be open
Hata Mtume wa ile dini ya Waarabu alijiita Mzungu.
Muhammad, anajiita eti yeye ni Mzungu. Makubwa haya.Mmmmmmmh mtume yupi huyo be open
Matatizo ya watu weusi yalianza baada ya weupe kuja huku!Walipogundua ubora wa mtu mweusi na utajiri alionao,ndipo ulipotengenezwa mfumo wa kumfanya Mwafrika ajidharau ili aweze kutawalika vizuri!Kwa kifupi hakuna laana yoyote tena ni aibu sana mtu kusema hivyo,matatizo yote tuliyonayo ni ya kimfumo zaidi!
Muhammad, anajiita eti yeye ni Mzungu. Makubwa haya.
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU
Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfungaMguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu(wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasemanaye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib." -Sahih Bukhari1:3:63
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU NA SIO MWARABU
Lazima una tatizo wewe. Yaani unanichukia hata kuniona hujawai. Hakika chuki zako zitakupa mpasuko wa moyo. Mtafute Yesu akusaidie.YAANI WEWE SIKUPENDII...UNAPENDA KULETA MAMBO YA DINI SANA KTK JAMII.......Haya mambo ya kutofautisha tofautisha na kuongelea dini yanatoka wapi ktk mada hii...? Hebu badilika...KUA KIJANA..
Neno moja litokalo kinywani mwa mtu mmoja laweza badili dunia nzima ikawa hapakaliki....achaga kuongelea ongela dini..Ukitaka ongelea kuhusu amani na kuwasihi watu watende mema si mengineyo
Muhammad, anajiita eti yeye ni Mzungu. Makubwa haya.
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU
Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfungaMguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu(wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasemanaye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib." -Sahih Bukhari1:3:63
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU NA SIO MWARABU
Duuuuh.....! kumbe whiteman inamaanisha mzungu, kweli wewe unakijua kithungu.:A S wink:Muhammad, anajiita eti yeye ni Mzungu. Makubwa haya.
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU
Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfungaMguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu(wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasemanaye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib." -Sahih Bukhari1:3:63
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU NA SIO MWARABU
Muhammad, anajiita eti yeye ni Mzungu. Makubwa haya.
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU
Yeye alifanya Ngamia wake apige magoti katika Msikiti, halafu akamfungaMguu wake kamba na kisha akauliza: "Ni nani kati yenu ni Mtume Muhammad" Wakati huo Mtume alikuwa amekaa miongoni mwetu(wenzake) huku akiwa ameegemea mkono wake. Sisi tukajibu, "Huyu MZUNGU aliye agemea mkono wake ndiye Muhammad." Kisha akasemanaye, "O Mwana wa 'Abdul Muttalib." -Sahih Bukhari1:3:63
KUMBE MUHAMMAD ALIKUWA MZUNGU NA SIO MWARABU
Bluce Williams..hapa mnaleta mambo ya how europe under developed africa by walter rodney!!
Hata mimi nimesoma hicho ktabu ambapo rodney amejaribu kujustify kwamba matatzo tulio nayo yamesababishwa na hawa wazungu kwa kujaribu kuonesha shughuli za kiuchumi na kijamii pamoja na science iliyokuwepo afrika hata kabla ya kuja kwa wazungu.
Lakini mpaka leo kuna swali najiuliza? Ni miaka mingapi toka tupate uhuru toka kwa hao wazungu?
Ebu angalia south africa. Nadhan ingekuwa bado iko mikononi mwa makaburu (ngozi nyeupe) leo hii south africa ingekuwa iko mbali sana tena sana. Haina shaka south africa wakati wanabadili regime ya uongozi toka kwa makaburu kuja kwa waafrika ilikuwa ina uchumi na ilikuwa bora zaidi ya ilivyo sasa.
Lakini ndani ya miaka kumi na nne nadhan south africa mambo yake hayako sawa na miaka kadhaa mbeleni itakuwa nyuma zaidi maana hata kile kilichopo ni msingi uliojengwa na makuburu.
Ukiacha nchi za mashariki ya kati, nadhan africa ndilo bara linaloongoza kuwa na resources nyingi, mafuta, madini na kila kitu. Nadhan hakuna kitu kinachokosekana africa hata kama wazungu walivuna still waliacha mengine hata hajagunduliwa.
Lakini still hizo resources bado hazijaweza kumnufaisha mwafrica na bado tu masikini sana.
Kwa wanao dai kwamba tatizo ni uongozi wala hatujalaaniwa, basi mimi nawajibu laana yetu ilikuwa ya kwamba hatutakuwa na uongozi bora hivyo fact inabaki bado kuwa laana.
Kwa wanaodai kwamba weupe wanatunyonya na sasa wamekuja na neo colonialism basi mimi na conclude labda waafrica tupo kutawaliwa na kuwa supplier wa raw materials mbona asia hawanyonywi kama sisi?
Kwenye tears of the sun jamaa alisema hivi GOD HAS ALREADY FORGOTEN ABOUT AFRICA. Sitaki kuamin kama ni kweli