Pantoni ndio Ferry nadhani, yaani kivuko kinachovusha vitu na watu kutoka ng'ambo moja kwenda nyingine kwa umbali mfupi..Kwa wanaojua ningependa kufafanuliwa kuhusu hii Mada maana tumebishana Sana na Wana mbeya wenzangu ambao hata pantoni hatujawahi kupanda kwa upande wangu niliwajibu kuwa pantoni ni Meli basi kila mtu akawa anasema lake..... Ufafanuzi kwa wanaofahamu pantoni ni nini jamani nipate kuwaeleimisha Hawa wananzengo wenzangu.
Pc yangh niliyokuwa nafanyia kazi ilizingua kidogo...nyimbo kibao nilipoteza...mpk nikipata pc nyingine nzuriUle uzi wako wa kutupia mixing mbona umeutelekeza?
FerryPantoni ni fail
Meli ni sheep
FerryShip
FerryPantoni ni fail
Meli ni sheep
aaah shekhe ni chombo Cha majini?Ni chombo cha majini lakini huwezi fananisha na meli
Kama vipi Rudi 2005 ukatupie huu Uzi upate majibu murua!Kwa haya majibu ndo utajua tofauti ya jamiiforum ya 2005 na ya sasa
Definition inahusisha umbali!? Maana naona hata meli nayo inafiti kwenye definition yakoNi chombo kinachoelea kinatumika kuvusha watu/vitu/bidhaa kutoka upande A kwenda B.
Yeah.. itakua inahusisha umbali.. tunaweza kuiboresha zaidi ikawa na maana ya wazi zaidi.Definition inahusisha umbali!? Maana naona hata meli nayo inafiti kwenye definition yako
Hivi bajaj ni pikipiki au ni gariKwa wanaojua ningependa kufafanuliwa kuhusu hii Mada maana tumebishana Sana na Wana mbeya wenzangu ambao hata pantoni hatujawahi kupanda🤣🤣 kwa upande wangu niliwajibu kuwa pantoni ni Meli basi kila mtu akawa anasema lake..... Ufafanuzi kwa wanaofahamu pantoni ni nini jamani nipate kuwaeleimisha Hawa wananzengo wenzangu.