Ndoto hizi ndio hatima ya maisha yangu?

Ndoto hizi ndio hatima ya maisha yangu?

Dolla7

Member
Joined
May 9, 2020
Posts
20
Reaction score
8
Wanasema kuwa ndoto ni maaono ya jambo litakalotokea au lilillokwesha tokea. Ila kwangu imekua nitofauti, nilivyotafsiri katika ndoto zinazonisumbua miaka hazi timii.

Nimenda kwa shehe zaid ya wawili wakanitafsiria, lakini walio nitafsiria na kunitabiria sioni yakitimia

Naombeni mnisaidie maana ya ndoto hizi je nikwel ndio hatma yangu

Ndoto ya kwanza: Ninaota tupo safarini na marafiki zangu na watu nisio wajua, katika safari yetu tunakuta mto wa maji wanashindwa kuvuka mimi tu ndo nafanikiwa kuvuka tu wakijaribu vuka maji huwasomba

Ndoto ya pili: Ninaota tunapanda mlima mreefu wenzangu wote hushindwa katikati mimi peke angu ndo hufika kileleni

Ndoto ya tatu: Ninaota nipo na marafiki zangu tunakula karanga ila karanga zetu zina namba na zimefungu kwe vifuko vimbamba na karanga zangu namba yake nikubwa kushinda za wengine unakuta ni 87/95/97 mamba zinabadilika mara kwa mara kutokana na ndoto zinavyo jirudia vile vile karanga yangu ni ndefu kushinda za wenzangu

Ndoto ya nne: ninaota nipo na watu marufu na wanakuja kunitembelea kwangu na nipo kweny nyumba nzuri ( chaa ajabu sina nyumba nimepanga na kodi tu inanishinda)

Ndoto hiz zimekua zikijirudia mara kwa mara nemenza kuota ndoto hiz toka 2015


Je ndoto hiz zina maana gani? Naomben mnisaidie

Mshana Jr ,@Rains
 
Wanakuja kutoa mwongozo..... uwe na subira
 
Illusion tu zinakusumbuwa, hakuna mtu wa kukutafsiria ndoto, hiyo ni nafsi ukilala huwa inatoka inakuwa kwenye ulimwengu mwingine.

Shida vijana wengi waliozaliwa miaka ya 2000 hawana nafsi, wana mwili na roho tu, kwa kifupi ni mizigo.
 
ninaota nipo na watu marufu na wanakuja kunitembelea kwangu na nipo kweny nyumba nzuri ( chaa ajabu sina nyumba nimepanga na kodi tu inanishinda
Wewe inaelekea unadai ndoto ulizoota zikulipe...utasubiri sana!

Fanya bidii kwa yale unayofanya na uwe na malengo na nidhamu ya matumizi ya kipato chako(hata kama ni kidogo). Hizo ndoto zitakukuta njiani.
 
Wanasema kuwa ndoto ni maaono ya jambo litakalotokea au lilillokwesha tokea. Ila kwangu imekua nitofauti, nilivyotafsiri katika ndoto zinazonisumbua miaka hazi timii.

Nimenda kwa shehe zaid ya wawili wakanitafsiria, lakini walio nitafsiria na kunitabiria sioni yakitimia

Naombeni mnisaidie maana ya ndoto hizi je nikwel ndio hatma yangu

Ndoto ya kwanza: Ninaota tupo safarini na marafiki zangu na watu nisio wajua, katika safari yetu tunakuta mto wa maji wanashindwa kuvuka mimi tu ndo nafanikiwa kuvuka tu wakijaribu vuka maji huwasomba

Ndoto ya pili: Ninaota tunapanda mlima mreefu wenzangu wote hushindwa katikati mimi peke angu ndo hufika kileleni

Ndoto ya tatu: Ninaota nipo na marafiki zangu tunakula karanga ila karanga zetu zina namba na zimefungu kwe vifuko vimbamba na karanga zangu namba yake nikubwa kushinda za wengine unakuta ni 87/95/97 mamba zinabadilika mara kwa mara kutokana na ndoto zinavyo jirudia vile vile karanga yangu ni ndefu kushinda za wenzangu

Ndoto ya nne: ninaota nipo na watu marufu na wanakuja kunitembelea kwangu na nipo kweny nyumba nzuri ( chaa ajabu sina nyumba nimepanga na kodi tu inanishinda)

Ndoto hiz zimekua zikijirudia mara kwa mara nemenza kuota ndoto hiz toka 2015


Je ndoto hiz zina maana gani? Naomben mnisaidie

Mshana Jr ,@Rains
Thread 'Hizi sio ndoto za kawaida' Hizi sio ndoto za kawaida
 
Wanasema kuwa ndoto ni maaono ya jambo litakalotokea au lilillokwesha tokea. Ila kwangu imekua nitofauti, nilivyotafsiri katika ndoto zinazonisumbua miaka hazi timii.

Nimenda kwa shehe zaid ya wawili wakanitafsiria, lakini walio nitafsiria na kunitabiria sioni yakitimia

Naombeni mnisaidie maana ya ndoto hizi je nikwel ndio hatma yangu

Ndoto ya kwanza: Ninaota tupo safarini na marafiki zangu na watu nisio wajua, katika safari yetu tunakuta mto wa maji wanashindwa kuvuka mimi tu ndo nafanikiwa kuvuka tu wakijaribu vuka maji huwasomba

Ndoto ya pili: Ninaota tunapanda mlima mreefu wenzangu wote hushindwa katikati mimi peke angu ndo hufika kileleni

Ndoto ya tatu: Ninaota nipo na marafiki zangu tunakula karanga ila karanga zetu zina namba na zimefungu kwe vifuko vimbamba na karanga zangu namba yake nikubwa kushinda za wengine unakuta ni 87/95/97 mamba zinabadilika mara kwa mara kutokana na ndoto zinavyo jirudia vile vile karanga yangu ni ndefu kushinda za wenzangu

Ndoto ya nne: ninaota nipo na watu marufu na wanakuja kunitembelea kwangu na nipo kweny nyumba nzuri ( chaa ajabu sina nyumba nimepanga na kodi tu inanishinda)

Ndoto hiz zimekua zikijirudia mara kwa mara nemenza kuota ndoto hiz toka 2015


Je ndoto hiz zina maana gani? Naomben mnisaidie

Mshana Jr ,@Rains
Ushashiba mihogo hlf unatuletea shibe zako huku
 
Back
Top Bottom