kaka hapo umepitiwa kidogo sudan siyo maeneo yote hawa watu wanashida usipime hatahiyo airport unayoiringanisha na dubai ni uongoo ona hiyo picha ni ya juzi ya jpli
. ... Usiogope ila iko poa sanaa kidogo inasumbua wakati ikiluka n ikitulia ni kama upo ndani ya nyumba maeneo ya masaki kimyaa.. Ngoja wakuje wenyewe!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.