nadhan nawewe ni Bashite, huna unachokifikiria hv piga picha angekuwa amepotea baba yako nadhan ndo ungeujua uchungu. Those are Roma`s fans ujue hicho kitu na wanafanya vile kuishinikiza serikali imtafte, acha kufuka ww. PERIOD.
hoja yako haina mashiko, nadhan kichwa chako hakiko sawa, acha kuzifnya hoja za maendeleo za kitaifa na hoja za ilani ya Lumumba. Hivi kwa mfano unavosema eti mumejenga DART ni kweli mumjenga kwa kutoa pesa zenu za Lumumba ama? siamini kama upo sawa. 1st April was fool day
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.