Tetty sikuzote inapokuja jambo lenye maslahi ya Taifa ni vyema tukaweka uchama pembeni hii haikubaliki ata kidogo leo kwangu kesho kwako ata Mwenyekiti wako Chama analijua hiloo leo utashangilia Nape kafanyiwa hivii Je kesho akifanyiwa mtu mwingine kwenye chama chenu utajisikiajeLeo ndiyo unakumbuka Utaifa?? Lissu alibebwa juu juu toka Dodoma mlifanya sherehe humu,leo yako wapi??Kinyago mlichokichonga kinawakimbiza,na bado.
Unaongelea Recognition au?Hiyo Bwana Simon nakubaliana na wewe 100%Kigezo siyo nje ya system Angalia mambo mangapi Huyo mtu alivofanya kazi kizalendo kwa kuhatarisha uhai wake na pengine kupoteza mda wake mwingi kwenye chama na kuachana na maisha mengine lazima tuwe na shukranii
Dr Slaa alivunjwa mkono na pamoja na mke wake kuharibiwa ujauzito akiwa Arusha wakati wakitetea Chadema.Lissu alisema hakuna alie salama mkamuona chizi ila ndio haya sasa yanatimia.
Mkuu tofautisheni political issues na mambo yenye maslahi ya Taifa hatutafika kama tunakuwa wanafiki kiasi hikii!!! Ata Mwenyekiti wako anajua lilitokea leo halikubaliki lakini wewe kwa unafiki wako unasifia OK tutakutana tuuh uwanjani kwenye field battle uzuri ni mda tuuhMleta uzi hicho kilichomkuta Nape siku za nyuma aliona ni sawa kwa wapinzani kuwakuta. Au ni ule msemo wa mtenda akitendewa hujihisi kaonewa?
Mkuu tofautisheni political issues na mambo yenye maslahi ya Taifa hatutafika kama tunakuwa wanafiki kiasi hikii!!! Ata Mwenyekiti wako anajua lilitokea leo halikubaliki lakini wewe kwa unafiki wako unasifia OK tutakutana tuuh uwanjani kwenye field battle uzuri ni mda tuuh
Umeongea na umenena kwa kutumia busara na hekima sanaa Mungu akubarikiMtu hata kama ni mbaya lakini akatenda jambo jema lazima asifiwe. Hayo mengine bado atasulubishwa na dhamira yake. Ila kwa hili alitenda haki.
Lumumba naelekea kuifananisha na team bora ilochukua kombe (kushinda uchaguzi 2015) hiyo team ikauza wachezaji wake wote muhimu bila kukumbuka kuna mashindano yanakuja mbeleni (uchaguzi 2020)
Sidhani mtakuja kupambana na wapinzani kuutetea ubigwa wenu kwa kuwatumia wachezaji ambao bado hawajaiva kwa mikiki mikubwa kina pole pole,kina ***** daah mtakuwa MNA Kazi kubwa sana huko mbeleni