Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,903
Kamati Kuu ya CHADEMA imewateuwa Ezekia Dibogo Wenje and Lawrence Kego Masha kuwa wagombea Ubunge Uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).
Kwani kutokutenguliwa kwa bashite kumekuwa wazi kiasi gani?Duh mbona hii issue haijawa ya wazi.
Lini walitangaza kuhusu hao wabunge.
Je kuna form zilichukuliwa au kuna utaratibu gani ulitumika.
hii ishu iko wazi ila matangazo haya mara zote yanakuwa ndani ya vyama husikaDuh mbona hii issue haijawa ya wazi.
Lini walitangaza kuhusu hao wabunge.
Je kuna form zilichukuliwa au kuna utaratibu gani ulitumika.
Kamati Kuu ya CHADEMA imewateuwa Ezekia Dibogo Wenje and Lawrence Kego Masha kuwa wagombea Ubunge Uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA).
Duh mbona hii issue haijawa ya wazi.
Lini walitangaza kuhusu hao wabunge.
Je kuna form zilichukuliwa au kuna utaratibu gani ulitumika.
Kama kawaida huwa Mzee wa Monduli anaamua akimshirikisha DJ. Wanafanya kupeana tu nafasi. Chama cha kisanii sana hiki. Ila wajinga ndio waliwao.Duh mbona hii issue haijawa ya wazi.
Lini walitangaza kuhusu hao wabunge.
Je kuna form zilichukuliwa au kuna utaratibu gani ulitumika.
Afu ni wale wale....HIKI NI KITHIBITISHO TOSHA ya kuwa hata keki ya TAIFA italiwa na wachache ndani ya CHAMA siku mkipewa NCHI....
Masha ataleta kipi kipya?he has been there.....kwanini msiwape sura mpya kabsa...
Kwani CHADEMA hakuna HAZINA ya vijana?????.....aiseeeh WAKATI mwingne unaona CCM wanakosea kwenye BAADHI YA MAMBO ukijaribu kuangalia MBADALA WA CCM.....unaanza kulia mwenyewe NA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU CCM ibaki miaka MIA si haya MAJAMBAZI NA MABAGUZI.....jaribuni KUJITOFAUTISHA NA CCM.....MASHA NA WENJE wanini hawa????...WANA HATI MILIKI YA KUITWA WABUNGE??????
Last week serikali walisema watatangaza katika gazeti la serikaliDuh mbona hii issue haijawa ya wazi.
Lini walitangaza kuhusu hao wabunge.
Je kuna form zilichukuliwa au kuna utaratibu gani ulitumika.
Duuuh nakumbuka 2010kura kuhusu kipute hicho zinapigwa vipi, msaada please
Husikilizi au ww sio mwanachamaDuh mbona hii issue haijawa ya wazi.
Lini walitangaza kuhusu hao wabunge.
Je kuna form zilichukuliwa au kuna utaratibu gani ulitumika.
ccm wanamapungufu lakini tukubali hatuna upinzani wa kuleta mageuzi ya hata ya kufikia ya ccm inayoyafanya!.Afu ni wale wale....HIKI NI KITHIBITISHO TOSHA ya kuwa hata keki ya TAIFA italiwa na wachache ndani ya CHAMA siku mkipewa NCHI....
Masha ataleta kipi kipya?he has been there.....kwanini msiwape sura mpya kabsa...
Kwani CHADEMA hakuna HAZINA ya vijana?????.....aiseeeh WAKATI mwingne unaona CCM wanakosea kwenye BAADHI YA MAMBO ukijaribu kuangalia MBADALA WA CCM.....unaanza kulia mwenyewe NA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU CCM ibaki miaka MIA si haya MAJAMBAZI NA MABAGUZI.....jaribuni KUJITOFAUTISHA NA CCM.....MASHA NA WENJE wanini hawa????...WANA HATI MILIKI YA KUITWA WABUNGE??????
Masha na Wenje ni wabunge?Afu ni wale wale....HIKI NI KITHIBITISHO TOSHA ya kuwa hata keki ya TAIFA italiwa na wachache ndani ya CHAMA siku mkipewa NCHI....
Masha ataleta kipi kipya?he has been there.....kwanini msiwape sura mpya kabsa...
Kwani CHADEMA hakuna HAZINA ya vijana?????.....aiseeeh WAKATI mwingne unaona CCM wanakosea kwenye BAADHI YA MAMBO ukijaribu kuangalia MBADALA WA CCM.....unaanza kulia mwenyewe NA KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU CCM ibaki miaka MIA si haya MAJAMBAZI NA MABAGUZI.....jaribuni KUJITOFAUTISHA NA CCM.....MASHA NA WENJE wanini hawa????...WANA HATI MILIKI YA KUITWA WABUNGE??????