Huenda! Lkn ikiwa ni tv ya umma wajitahidi kuboresha kama ZBC2 inayotufurahisha sana kwa vipindi mubashara vya michezo, bigup ZBC 2!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kipindi ambacho kwa sasa watanzania wengi nyakati za jioni wamekuwa wakitawanyika katika majumba ya starehe ikiwemo baa na vibandani kushuhudia mashindano ya Afcon yanayoendelea pale nchini Gabon.
Pamoja na hilo, naendelea na utafiti mfupi huku nikiwa na hoja ya msingi kuwa: je watanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.