Ngualo Seleman
Member
- Apr 23, 2017
- 13
- 0
Mi natka mke ila cyoo wa kutaftwa kma kazi
hahahhaha subiri wakutane na misukuleMkuu vigezo vya nini wakati yeye shida yake ni "Mme"
hii alama ya kimahesabu huku jukwaa la MMU inatafta nini mkuu??Mme ≠ Mume
PichaHabari za week end wana JF?
Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii
adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm.
Am serious jamani
Utani tuweke pembeni kidogo!
Njoo PM tuyajenge mamaJaman bado nawasubiria huku pm
Hurry up
PoaHabari za week end wana JF?
Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii
adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm.
Am serious jamani
Utani tuweke pembeni kidogo!
Njoo pm
hii alama ya kimahesabu huku jukwaa la MMU inatafta nini mkuu??
Vigezo gani mnavitaka? Kwani mwanaume si anajulikana tu ni mtu wa vipi? Anachohitaji yeye ni mtu mwenye uume basiMatangazo mengi ya aina hiyo mkuu humu yana vigezo,mara kipato sasa siye tunaounga unga maisha lazima tujue kwanza tusije kuchambwa huko PM
hahahhh hivi imekuaje mpk Aisha yupo huku anatafuta mume
Habari za week end wana JF?
Mimi binafsi niko salama namshukuru Mwenyezi Mungu, naomba nitumie nafasi hii
adhim ya JF kujitafutia mume. Mwenye nia ya dhati anipm.
Am serious jamani
Utani tuweke pembeni kidogo!
Hahahahahaaaaaaaaa jiulize umekosea wapi kaka.hahahhh hivi imekuaje mpk Aisha yupo huku anatafuta mume