Malipo ya King'amuzi cha DSTV na thamani ya shilingi ni changamoto

Dksalas

Member
Jul 29, 2016
40
34
Ni kipindi ambacho kwa sasa watanzania wengi nyakati za jioni wamekuwa wakitawanyika katika majumba ya starehe ikiwemo baa na vibandani kushuhudia mashindano ya Afcon yanayoendelea pale nchini Gabon.
Pamoja na hilo, naendelea na utafiti mfupi huku nikiwa na hoja ya msingi kuwa: je watanzania wengi hawana uwezo wa kulipia Dstv kama ambavyo wanaweza kufanya kwa ving'amuzi vya ndani ya nchi?!
 
Ni kipindi ambacho kwa sasa watanzania wengi nyakati za jioni wamekuwa wakitawanyika katika majumba ya starehe ikiwemo baa na vibandani kushuhudia mashindano ya Afcon yanayoendelea pale nchini Gabon.
Pamoja na hilo, naendelea na utafiti mfupi huku nikiwa na hoja ya msingi kuwa: je watanzania wengi hawana uwezo wa kulipia Dstv kama ambavyo wanaweza kufanya kwa ving'amuzi vya ndani ya nchi?!
Hao nafikiri watakuwa na mapenzi yao si unajua tena ushabiki wa soccer ni mnatazama game mkiwa wengi otherwise channels za fta zinazorusha ni nyingi
 
mimi natumia star times....jamaa hawa ni wababaishaji tu...hawana channel yoyote inayoonesha AFCON.. ndo maana inabidi niende kibanda umiza kucheki gem...

kuna wakati najutia kununua hiki king'amuzi chao....kiukweli hawatutendei haki wateja wao
SS 6 HD live! Wanarusha!!!
 
Mimi Nina Mobile Phone Yangu Hata Sihangaiki Kwenda Kibanda Umiza au Kulipia DStv! Ninastream Na Kuangalia Mpira Live Online humbani Kwangu Bure Kwa Wireless au MB za Jero tu Za Halotel....
Nielekeze na mm Mkuu niweze kufurahia
 
Mimi Nina Mobile Phone Yangu Hata Sihangaiki Kwenda Kibanda Umiza au Kulipia DStv! Ninastream Na Kuangalia Mpira Live Online humbani Kwangu Bure Kwa Wireless au MB za Jero tu Za Halotel....
Tujulishe unafanyaje kuangalia nasi tuachane na haya mateso ya bill za kila kukicha!
 
Tujulishe unafanyaje kuangalia nasi tuachane na haya mateso ya bill za kila kukicha!
Tafuta application ya mobdro chukua apk yake ktk google usishushe ile ya kwenye play store haiko poa. Hiyo utaangalia chanel zote live kuanzia michezo(skysport epl,laliga), muvi series
 
Mkuu unaongelea DSTV hio.ni anasa mkuu kwa wengi.Wengine tunasubiri updates za magori hapahapa jf
 
Dstv ilikuwa zamani mbona sasa kama ni afcon kuna channel za bure nyingi tu mfano zbc HD eutelsat 3e(Zimbabwe),rtg1 ya Gabon eutelsat 3e, tele Congo hii ni ya Congo Brazzaville's ipo ses 5, RTS hii ya Senegal ipo eutelsat 7b pamoja na eutelsat 16, crtv ya Cameroon, ortm ya Mali, rtb ya bokinafaso na nyingine nyingi na hizi channel zote zinapatikana Tanzania na ni zabure
 
Watanzania kwa kulalamika bana
Mtu umepewa uchaguzi wa Startimes
Dstv
Digitek
Continetal
Ila bado wanataka Dstv
 
Nenda Google moja kwa moja Download Application ya MOBDRO... Hakikisha usije ukadownload MOBDRO ya playstore ni Fake..
Nashukuru nimefanikiwa kuidownload ila unaweza kupata tv station nyingine zaidi ya hizi walizonazo wao? Mfano mi nataka liverpool tv ila sijaiona kwenye list
 
mimi natumia star times....jamaa hawa ni wababaishaji tu...hawana channel yoyote inayoonesha AFCON.. ndo maana inabidi niende kibanda umiza kucheki gem...

kuna wakati najutia kununua hiki king'amuzi chao....kiukweli hawatutendei haki wateja wao
Mimi nakitafutia mnunuzi akipatikana nakiuza
 
Tafuta application ya mobdro chukua apk yake ktk google usishushe ile ya kwenye play store haiko poa. Hiyo utaangalia chanel zote live kuanzia michezo(skysport epl,laliga), muvi series[/QUOTE

Najaribi hiyi mabdro du naona madudu sielewi nisaidie
 
Back
Top Bottom