Mimi nikikuta umevaa sijui kigodoro/ kisponji unavaa unarudi ulikotoka![]()


jamanii sasa mnatak wafanyajeekwanini u fake?jamanii sasa mnatak wafanyajee
Si ndo mnatak matako na wenywe wataonekana saa ngapi..kwanini u fake?
Hahahahah nazingua tuHuyooo nimemdaka na upendo wa dhat uliambiwa jr anapenda wowow nan kakudanganya
Wanawake kweli ni viumbe complex sana. Ukiuliza tabu zote za nini hizo hata jibu la maana la kukupa hana!Ndo hivyo mkuu,hapo bado hawajapaka yale mafuta yanayouzwa insta ya kuongeza hipsi na makalio


AnatuzoomHahahahahaha wanawake MUNGU anawaona ohoooooo!
Ndio tuna shape mbayaIna maana wadada wa jf hamna shepu nzuri haaaaa
HuhuhuhuMe I like yoo eti huna kigodoro wowowo....![]()
![]()
![]()
Kwani tako ndo shepu nzuri?Ina maana wadada wa jf hamna shepu nzuri haaaaa
mmechekaaaa dahNimekiona cha moto
Hahaha noma chair ya ketepaChai ya tangawizi.
Teh teh teh! Alichoamua Mungu huwezi kukibadili.#kataakuwaflatscreen#
Vaa kigodoro