Mtu kukata tamaa ya kusoma chuo kikuu kwa hofu ya kuto pata ajira.
Mtu kukata tamaa ya kupenda kwa hofu ya kutendwa.
Mtu kuogopa kufanya biashara fulani kwa hofu ya kupata hasara.
Watu wa namna hii wangepewa option na Mungu ya kuzaliwa wangekataa kwa hofu ya kufa.
Nyingine mtaongeza!
Kama kuna watu wachelewaji kwenye fursa basi Mimi ni mmoja wapo! Ilianza D9 nikasita,nikajakusikia wamelizwa,ikaja tmt nikasema nitajipanga nijiunge,ikaja Bitcoin na bei yake kupaa maradufu nikasema nitajipanga ninunue.Ila vyote hivii vimepita kando,naona Mola yu nami.
Aliwahi kusema mafanikio huja na kiburi hivyo tuwe makini! Lakini naona unabii wake unamrudi mwenyewe,anyway tumwache kijana ale matunda ya kazi zake.
Hata mimi ningekuwa Ontario ningekuwa kama yeye tu! Inashangaza mtu kusubiri kusukumiwa call tu,then hela ziteremke kiulaini tu!! "You have to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.