BigUp Kwako MSHANA Jr.....Hua Naongeza Kitu Flan Akilin Naposomaga Mada Zako. Japokua C Mchangiaji Sana Ktk Mada Zako Lakn Ni Mfatiliaj Mzur Sana Wa Posts Zako Nyingi, Karibia Zote. Kwa Kiasi Flan Mada Zako Hua Zina Ka Ukwel Flan Hv Endapo Mtu Atazilinganisha Na Uhalisia Wa Maisha Ya Kileo. Hata...
Chukua BIBLIA (kama mkristo) Au QUR'AN (kama Ni Muislam) Weka Kichwani Mwako Anza Kutoa Viapo Vikali Ukiwa Serious Kua Huyo Mdada Amekosea Tu Namba Si Mpenzi Wako Hamna Uhusiano Nae Na Wala Humjui. Njia Hii Kidoogo Inaweza Kukusaidia Kurudisha Ka Iman Yake Kwako.
Pole Sana Mkuu.
Ninavutiwa Sana Na Kufanya Biashara 2 Tofauti.
1) Kufungua Huduma Za M-pesa, Tigo Pesa Na Airtel Money Na Kuuza Luku. Lakini Sijui Gharama Zake Na Ni Mtaji Wa Kiasi Gani Unatosha Pia Kuna Changamoto Zipi.
2) Nafikiria Kununua Bajaji Then Nijiajiri Mwenye (niendeshe Mwenyewe) Lakini Sijui...
Hivyo Ndo Freemason Wafanyavyo..! Huwezi Kuongoza Nchi Bila Kua Agent Wa Fm Na Hapo Mkuu Wa Kaya Anarudisha Nguvu Zote Kwa Fm Alizopewa Enz Za Utawala Wake. ROMAN CATOLIC Ndo Waasisi Wa Freemason Dunian Kote, Na Wakitaka Uwe Rais Wa Nchi Flan Utakua Tu Ni Lazima Na Kama Hawakutak Huwez Kua...
Kwa Hiyo Kabila Zoote Hakuna wenye Qualifications Isipokua Wahaya Tu, Shame On U!, ~ My Education Level, 1st Degree. Nawe Taja Elimu Yako! Nahc We Ndo Wale Wa Div 5 Au Div -ve.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.