Lkn si ndio wanaotoa huduma ya ngono?
Wachaga na wahaya kwa ukabila ni balaa!
silipendi hilo kabila na watu wake
Nilianza kusikia habari ya ubaguzi wa wahaya tangu nikiwa tumboni kwa mama.
Mleta mada acha ucatalunya
Wacha wee... Tupe na stori zingine ulizotokanazo tumboni
Nepotism ipo kwa kila Kabila, sema makabila mengine hawajapata fursa
Nyambafu, una matatizo ya fikra, wewe nani hata watu wasiongee lugha yao.
Wivu wa kike
Sio kweli mkuu tajiri/bepari jay-millions
Kaka sio ubaguzi sio siri soko la Ilala ni kama vile upo sokoni Hamugembe au Kyetema,pale kila kitengo hata ukitaka kuuza mtumba hupati nafasi ,mpaka uwe Mhaya,Wahaya ndio wabaguzi walikaribishwa pale sokoni wakaitana wakapiga jungu na mwishowe wakaliteka hilo soko,wewe unayesema ni ubaguzi humu mtandaoni tafadhali tembelea hilo soko ndio utaelewa sisi tunachokisema.Ubaguzi wa aina yoyote haufai.
lakini MTU kuongea Lugha yake asilia sio kosa.LA sivyo ingekuwa kosa kuzaliwa katika kabila Fulani.Lugha zote zina haki sawa.
Dawa ya kuua ukabila ni kusoma na kuelimika.
Kusoma ni jambo moja kuelimika ni jingine.
Tukielimika tutatumia elimu yetu kutatua matatizo ya kila tulipo kwa kujiajiri.
Hatutasubirikuajiriwa.
Tikisoma na kubaki na vyeti mkononi tutatafuta ajira.
Huu ni ukweli ulio uchi.:becky:
Kuna dogo aliniomba 2M nikampa akanunua Pikipiki sijui Boxer sasa akaniambia mfuniko wa Tangi la oil umetengenezwa kwa chuma hafifu chuma cha udongo.
Nikamwambia namna ya kuyeyusha Aluminium au Brass na kumimina kutengeneza mfuniko imara.
![]()
Ukitaka kujua undugu upo kila Kabila, angalia wasambaa kariakoo wamekusanyana wanauza migahawa, wanauza maji, tena mmoja akifika dar lazima avute wenzake wasiopungua kumi. Waacheni wahaya aiseee
Ur really blessed, I'm proud of you
Kuna makabila mengine Ni mtihani kwakweli,,Sa sijui inakuwaje mtu wa kabila ilo km ikitokea akawa president,Ni hatari