Wahaya wafukuzwa soko la Ilala

Wahaya wafukuzwa soko la Ilala

Tukunje mabati yetu wenyewe.
Ho Metal Roller inakunja bati katika shepu kibao.
bead-roller-br18m18.jpg



maxresdefault.jpg
 
Hivi kwa nini humu JF watu wana chuki na wahaya na wachaga? Mi nadhani ingekuwa watu wana uwezo wa kubadili kabila, wengi wangehamia haya makabila kwani mengi yanayoongelewa humu ni wivu tu.
 
Ni mbegu iliyoachwa na Wakoloni.
Ni makusudi yaliyofanywa na Muingereza.
Ni njama zenye nia ya kuendelea kututenganisha.
Ni Ukoloni Mamboleo( NEO Coloniolism)
Mti uzaao mbegu hii ni lazima ukatwe vipandevipande uwekwe katika lundo kubwa umwagiwe mafuta ya taa na kupigwa kiberiti.
Kisha jivu lake kuzolewa na kutupwa baharini huku tukitoa sala ya nia ya moyoni kabisa ya kulaani na kuseta Roho chafu ya mti ule na aliyepanda mbegu yake.

Hii ni hadithi inayojirudia kila mahali Mkoloni alipopita.
Unaelimisha watu wachache kwa wingi, ili wewe mkoloni ukiondoka itokee vacuum ugomvi usiishe ili wenye akili za uvivu waseme heri wakati wa Mkoloni na hivyo kuendelea kuwaabudu.
Ugomvi wa Mipaka pia ni mbegu chafu ya Mkoloni Muingereza( Kashmiri India, Lake Nyasa Tanzania etc)

Ingekuwa Walifuata uwingi wa watu ,Shule nyingi zingejengwa Shinyanga, Mwanza na Tabora kwa sababu Wasukuma pekee yao ni karibu NUSU ya Population ya Tanzania ukijumrisha na Wanyamwezi ni zaidi ya Nusu.
Lakini Wasukuma na Wanyamwezi pamoja na uwingi wao shule hakuna ya kutosha. With relation to their number.
Nusu ya wasukuma wakienda Shule kila katika kila watu 4 waliosoma mmoja angekuwa msukuma.
Wazungu waliogopa sana hiyo kitu.

Ninyi mnaochukia Wahaya na Wachagga ni Victims wa NEO Colonialism. STOP BEING VICTIMS.:thinking::thinking::thinking:

Tuna Mbegu iliyopandwa tayari kuvunja, kuharibu na kubomoa ujinga alopanda Muingereza( Shule za KATA)
Hizi ni shule zilizopo kila Kata, Unless kata nzima imejaa wapumbavu na akina hamnazo.
Tukiziendeleza Shule hizi kwa Akili zetu zote na Moyo wetu wote, maana yake sisi wana kata tukijitolea Muda wetu fedha zetu Elimu yetu Uwezo wetu wa Kuinfluence sioni ni vipi tutaendeleza gumzo hili chafu la kudhani kazi zote wamechukua Wahaya na Wachagga.
Kuna Kata Kule Iringa badala ya shule 1 zina shule 3 na bado wana mpango wa kuziongeza.
Kuna kazi za kutengeneza zana za Udongo
Kuna kazi za kutumia miti kutengeneza vifaa vya nyumbani na ofisini
Kuna Kutengeneza Hydram kwaajili ya kupampu maji
nk

Tusome tuelimike, tuitumie elimu yetu kutatua matatizo yanayotukabiri pale tunapoishi, mzizi wa fitina utang'oka wenyewe.

STAY BLESSED.


Hivi kwa nini humu JF watu wana chuki na wahaya na wachaga? Mi nadhani ingekuwa watu wana uwezo wa kubadili kabila, wengi wangehamia haya makabila kwani mengi yanayoongelewa humu ni wivu tu.
 
Hivi kwa nini humu JF watu wana chuki na wahaya na wachaga? Mi nadhani ingekuwa watu wana uwezo wa kubadili kabila, wengi wangehamia haya makabila kwani mengi yanayoongelewa humu ni wivu tu.

Wahaya & Wachaga Mna Tabia Na Mila Za Ajabu Ajabu Ndo Maana Mnasemwa Kila Kona Inatakiwa Mbadilike Achen Ukabila
 
Mna chuki binafsi.

Kila kabila lina matatizo yake, lakini makabila yenye tabia za ubaguzi wa kupitiliza kama wahaya hayakubaliki katika jamii, ukabila na udini ndio tabia pekee nyerere alizikataa, kwanza ni roho ya uchoyo, na Yesu alituambia tujilinde na choyo, ni sawa na kusema jilindeni na uhaya, hata mhaya anaweza jilinda na uhaya akijikana nafsi yake
 
Hivi kwa nini humu JF watu wana chuki na wahaya na wachaga? Mi nadhani ingekuwa watu wana uwezo wa kubadili kabila, wengi wangehamia haya makabila kwani mengi yanayoongelewa humu ni wivu tu.

Sasa wewe unasikia soko linajaa wahaya, hiyo ni tabia ya kuilea kweli! Baada ya kusema na sisi wanyakyusa tufanye kama wahaya ni bora kubomoa ufalme wao
 
Hongera sana kwa kufurahia wahaya kufukuzwa ...sasa kwasababu uko was furaha sana Fanya sherehe na usherehekee uikoleze furaha yako
 
Sasa wewe unasikia soko linajaa wahaya, hiyo ni tabia ya kuilea kweli! Baada ya kusema na sisi wanyakyusa tufanye kama wahaya ni bora kubomoa ufalme wao

Mie sioni tatizo labda kama tatizo litakuwa kabila la wahaya,kama uliwahi kwenda machinjioni hapa dar mtaelewa nachokisema,kule bwana ndugu zetu kutoka Dodoma ndo wamepiga kambi Kule lakini binafsi siwezi kulalamika kuhusu hilo,labda wana passion na kazi hiyo ama labda wengine hawaoneshi kuitaka hiyo kazi basi tuwaache waliona kwao wanaweza wakaifanya na kujazana basi wafanye ukizingatia watu tumekuja mjini kufanya kazi na si kuuza sura na kupaka rangi kucha
 
Ni mbegu iliyoachwa na Wakoloni.
Ni makusudi yaliyofanywa na Muingereza.
Ni njama zenye nia ya kuendelea kututenganisha.
Ni Ukoloni Mamboleo( NEO Coloniolism)
Mti uzaao mbegu hii ni lazima ukatwe vipandevipande uwekwe katika lundo kubwa umwagiwe mafuta ya taa na kupigwa kiberiti.
Kisha jivu lake kuzolewa na kutupwa baharini huku tukitoa sala ya nia ya moyoni kabisa ya kulaani na kuseta Roho chafu ya mti ule na aliyepanda mbegu yake.

Hii ni hadithi inayojirudia kila mahali Mkoloni alipopita.
Unaelimisha watu wachache kwa wingi, ili wewe mkoloni ukiondoka itokee vacuum ugomvi usiishe ili wenye akili za uvivu waseme heri wakati wa Mkoloni na hivyo kuendelea kuwaabudu.
Ugomvi wa Mipaka pia ni mbegu chafu ya Mkoloni Muingereza( Kashmiri India, Lake Nyasa Tanzania etc)

Ingekuwa Walifuata uwingi wa watu ,Shule nyingi zingejengwa Shinyanga, Mwanza na Tabora kwa sababu Wasukuma pekee yao ni karibu NUSU ya Population ya Tanzania ukijumrisha na Wanyamwezi ni zaidi ya Nusu.
Lakini Wasukuma na Wanyamwezi pamoja na uwingi wao shule hakuna ya kutosha. With relation to their number.
Nusu ya wasukuma wakienda Shule kila katika kila watu 4 waliosoma mmoja angekuwa msukuma.
Wazungu waliogopa sana hiyo kitu.

Ninyi mnaochukia Wahaya na Wachagga ni Victims wa NEO Colonialism. STOP BEING VICTIMS.:thinking::thinking::thinking:

Tuna Mbegu iliyopandwa tayari kuvunja, kuharibu na kubomoa ujinga alopanda Muingereza( Shule za KATA)
Hizi ni shule zilizopo kila Kata, Unless kata nzima imejaa wapumbavu na akina hamnazo.
Tukiziendeleza Shule hizi kwa Akili zetu zote na Moyo wetu wote, maana yake sisi wana kata tukijitolea Muda wetu fedha zetu Elimu yetu Uwezo wetu wa Kuinfluence sioni ni vipi tutaendeleza gumzo hili chafu la kudhani kazi zote wamechukua Wahaya na Wachagga.
Kuna Kata Kule Iringa badala ya shule 1 zina shule 3 na bado wana mpango wa kuziongeza.
Kuna kazi za kutengeneza zana za Udongo
Kuna kazi za kutumia miti kutengeneza vifaa vya nyumbani na ofisini
Kuna Kutengeneza Hydram kwaajili ya kupampu maji
nk

Tusome tuelimike, tuitumie elimu yetu kutatua matatizo yanayotukabiri pale tunapoishi, mzizi wa fitina utang'oka wenyewe.

STAY BLESSED.

Rudi shule upate maarifa zaidi badala ya kuja na hoja za uwongo na wivu!
 
Mimi nafikiri walipewa majukumu kutokana na uwezo wao. Sasa kutokea kuwa wahaya walikuwa wengi haikupangwa iwe hivyo. Mbona wagombea wengi watarajiwa wa urais wanatokea kaskazini? Hiyo haiwezi kuwa ni ukabila. Sasa kama baadaye walizembea hilo ni tatizo jingine. Lakini tusiwahukumu kwa kuwa ni wahaya bali kwa uzembe walioufanya.
 
Can you suggest a number of schools where you want me to go to reach your level of understanding?
Au nilichoeleza kiko deep kiasi kwamba ulipozamisha Bongo yako nzima ndani yake umetoka mkavu kama kidole kilichozamishwa ndani ya MERCURY??:confused2:


Rudi shule upate maarifa zaidi badala ya kuja na hoja za uwongo na wivu!
 
Ina maana we huoni kinachoendelea pale tff? Full tribalism

TFF kuna ukabila ganı mkuu?Mbona wengne walikuwemo kwenye mpira hata kabla ya Malınzı?Au kwa vıle Rais na Katibu nı wahaya?Wengne wanasema pale ni Yanga sana.Wengne wanasema Wagalatia sana.Yaani umasikini ishu kweli.
 
Kabila gani lisilotoa huduma hiyo? Mbona dadazako wanatoa bure??

Una uhakika au unaropoka
Maana ukiwa msasani kwa wahaya, ukiwa temeke wapo, manzese wapo, mwananyamala wapo kote huku ni huduma wanatoa sasa unapanick ili iweje?
 
Mie sioni tatizo labda kama tatizo litakuwa kabila la wahaya,kama uliwahi kwenda machinjioni hapa dar mtaelewa nachokisema,kule bwana ndugu zetu kutoka Dodoma ndo wamepiga kambi Kule lakini binafsi siwezi kulalamika kuhusu hilo,labda wana passion na kazi hiyo ama labda wengine hawaoneshi kuitaka hiyo kazi basi tuwaache waliona kwao wanaweza wakaifanya na kujazana basi wafanye ukizingatia watu tumekuja mjini kufanya kazi na si kuuza sura na kupaka rangi kucha

Machinjioni si tu wagogo, pia hata kidini waislamu, hao wachinje tu maana wakristo kwa ujumla hatupendi kuchinja, sasa kazi ya kukusanya ushuru na maeneo ya biashara si kwa kabila kujipendelea. Watu walihitaji kazi wakatupwa nje kwa kuwa si wahaya, hilo ndio halikubaliki katika nchi hii. Kaburu hata kama ni mweusi ili mradi ana mawazo ya mkaburu wa South yeye pia ni Kaburu, kama ninavyomnukuu nyerere. Wagogo hawajambagua mtu
 
Hivi kwa nini humu JF watu wana chuki na wahaya na wachaga? Mi nadhani ingekuwa watu wana uwezo wa kubadili kabila, wengi wangehamia haya makabila kwani mengi yanayoongelewa humu ni wivu tu.

Siwezi penda kuwa mhaya hata kama ningeambiwa nichague kuzaliwa tena, labda nizaliwe mhaya halafu nilelewe na kabila lingine lolote, bora nizaliwe mkurya. Wakurya wanaweza kuwa wakatili lakini wakielimishwa huachana na mila hizo. Mhaya kwa asilimia nyingi hata awe msomi, hawezi kuacha ukabila, unafiki nk
 
Back
Top Bottom