Wauza sura Mlimani City

Wauza sura Mlimani City

jamaa kanichoka sana

Kaka sijakuchoka hata kidogo, ila namimi nakumbuka siku ya kwanza kulala na mwanamke mpaka asubuhi. aisee halafu muda woote hana kyupi. Wakati zamani nilizoea kupewa kwa kunyanyaswa, sasa siku ile..... we wacha tu, ukiambiwa siku hizi nakaaga wiki sijaigusa....tehetehe
 
kaka sijakuchoka hata kidogo, ila namimi nakumbuka siku ya kwanza kulala na mwanamke mpaka asubuhi. Aisee halafu muda woote hana kyupi. Wakati zamani nilizoea kupewa kwa kunyanyaswa, sasa siku ile..... We wacha tu, ukiambiwa siku hizi nakaaga wiki sijaigusa....tehetehe

sure mkuu upo sahihi yaani full kujisevia bana
 
sure mkuu upo sahihi yaani full kujisevia bana

Halafu siku ya honeymoon unajiambia kimoyo moyo. yaani huyu mke wangu alivyokua mzuri sitakuja kumsaliti hata siku moja wala sitakuja kugombana naye hata akiniudhi nitamsamehe hapo hapo. weewe ngoja aizoee nyumba. Utaanza pombe ili mradi usiwahi nyumbani
 
Halafu siku ya honeymoon unajiambia kimoyo moyo. yaani huyu mke wangu alivyokua mzuri sitakuja kumsaliti hata siku moja wala sitakuja kugombana naye hata akiniudhi nitamsamehe hapo hapo. weewe ngoja aizoee nyumba. Utaanza pombe ili mradi usiwahi nyumbani

mkuu ila mimi sintobadilika
 
mkuu ila mimi sintobadilika

Anaitwa nani yule kwenye kipindi cha mchepuko... mke wangu mzuri lakini hamfikii nani yule ? kuna dogo mmoja kamnunulia VITZ na shopping Mlimani .... nimekumbuka NANCY...... hutegemei kumuona Nancy kweli ? Basi usiruhusu bi mkubwa akutembelee halafu akae zaidi ya wiki kwako. no. 2 usiruhusu dada zako waje wakae kwako zaidi ya masaa ishirini na nne. 3. hakikisha shemeji hana rafiki wa kufa na kuzikana kuanzia sasa yaani SHOSTI wa saaana hasa asiyekua na mume. hapo ndoa itakaa
 
Anaitwa nani yule kwenye kipindi cha mchepuko... mke wangu mzuri lakini hamfikii nani yule ? kuna dogo mmoja kamnunulia VITZ na shopping Mlimani .... nimekumbuka NANCY...... hutegemei kumuona Nancy kweli ? Basi usiruhusu bi mkubwa akutembelee halafu akae zaidi ya wiki kwako. no. 2 usiruhusu dada zako waje wakae kwako zaidi ya masaa ishirini na nne. 3. hakikisha shemeji hana rafiki wa kufa na kuzikana kuanzia sasa yaani SHOSTI wa saaana hasa asiyekua na mume. hapo ndoa itakaa

mkuu umesema ukweli mtupu hapa
 
Kuna siku nimempeleka waifu Mlimani kwenye ATM ya NMB, sasa wakati yuko kwenye foleni nikaona nikae kwenye kile ki mgahawa karibu na ATM. akaja mdada mmoja akaniuliza nikusaidie nini, nikamwambia anipe juice tu. Juice kweli ikaja na ni nzuri. nikampa mwekundu mmoja kanirudishia chenge elfu sita, nikajua amekosea nikauliza kwani juisi bei gani. kasema elfu NNE, yaani zaidi ya bei ya BIA. Halafu parking ya kulipia. siku hizi Mlimani city tunaishia kwenye ATM tu.
 
wakuja mna tabu!!!halafu mkiitwa WASHAMBA mnakuja juu!
 
Kwa hiyo wewe window shopping haufanyi ? Huwezi kwenda kuangalia nyumba nzuri,gari,aina ya biashara hata kama huna hela kwa wakati huo,,jitahidi ujue kitu chochote kabla ya kuwa na hela ya kufanya icho kitu kuriko ushike hela ndio uanze kutembea na kuuliza utaishia kutapeliwa tuu au ukajenga nyumba mbaya kwa hela nyingi kwa kuwa upo gizani.
 
Jamani nimegundua watu wengi wanaoenda Mlimani City wanakuwa hawana issue ya maana zaidi ya kwenda kuuza sura.

Iko hivi, ukifika Mlimani City utawakuta mabrazamen na masista duu kibao wanatembeatembea tu bila mpango wowote atashangaa hiki mara kile atakaa chini anapiga miayo ya njaa mara atajifanya yupo bize na kismart phone cha mchina kumbe hakina salio lolote,baada ya muda watanunua ice cream za watoto watalambalamba.

Wakimaliza kuuza sura wataondoka zao.

Wakuu mkitaka kuamini nendeni Mlimani City mtawaona .

Jamani nendeni Mlimani City mkiwa na issue za maana na sio kuuza sura tu.

Huna Kazi? "Si Bora Ununue Gazeti Ujippepppeee!!"
 
Back
Top Bottom