Katika tangazo la tenda machokubaliana ni masharti na vigezo... Lkn hakuna tenda yenye kigezo cha mtu anaekusanya ushuru awe kabila flan... Na kwa ufupi yule aliepewa tenda ameweka mtaji wake na analipa kodi kama mwenye duka kariakoo.... Kwa ufupu ni kwamba wamefukuzwa obvious tender iko wazi wew pia unaweza ukaomba ili uwe mfano na si kulalamika humu ndani
Kama hayo unayoyasema ni kweli na ninavyojua wahaya wanavyopenda vikesi basi mada ingekuwa mahakamani. Kama ni hivyo kwamba tenda unaeza ifanya biashara ya bibi mbona wamefukuzwa? Tenda unaianza kwa fedha yako halafu serikali inakulipa kwa faida, na kwenye ripoti za maendeleo inatangazwa na serikali kuwa ni moja ya kazi iliyoifanya, si kazi yako, na wananchi wanakupokea wewe kama mserikali si mtu binafsi, kwa hiyo ni uelewa, hamjaonewa hapo. Mmekosa maarifa ya kuishi na jamii ya umma