Wahaya wafukuzwa soko la Ilala

Wahaya wafukuzwa soko la Ilala

hamna la maana!wekeni makbila yenu tuwajue na nyie mnaoponda! maana mleta mada kaja na chuki binafsi!!jukwaani
 
Nenda wizara ya ardhi ndo utajua hawa watu ni wa aina gani........!!!!
kiongozi mkuu wa uongozi wa utozaji ushuru na usafi soko la ilala alikua ni muhaya ikawa kila mtoza ushuru kila kona ya soko ni muhaya.

Soko likajaa watu wa kabila moja tu, kila ikitangazwa kazi wanapewa wahaya tu.

Mamlaka ya soko hilo imeamua kuufukuza uongozi wa utozaji ushuru na usafishaji wa soko sababu zipo nyingi lakini kubwa ni mbili;

1. Ni kukithiri kwa uchafu sokoni, wameshindwa kudhibit uchafu.
2. Ukabila, uongozi una ubaguzi wa kikabila unatoa ajira kwa kabila moja tu (wahaya).

Source: Mi mwenyewe nilikuwepo wakati wa utoaji wa tamko hilo.
 
Hawa jamaa ni watu wema ila hilo la kupeana nafasi mimi nalikubali akipenya mmoja basi wote wanaitana..Alikaa mkuu wa wilaya kisarawe kule wakapima viwanja mwisho wa siku ikagundulika kwamba 95% walipata Wahaya na kuna wengi waliomba kesi ilikuwa kubwa sijui iliishia wapi.
 
Back
Top Bottom