Recent content by Didier TZ

  1. D

    Wakuu nimetapeliwa na mtu wa Thailand

    Ni kweli ata Facebook huko wamejaa na wanaliza sana Watz. Wanajifanya wanawake na anasema anakutumia electronics kama Ipad Iphone na Pesa dola 2000. Sasa siku ya siku lijamaa linakuchek kwa namba 254 linasema lipo Jomo kenyatta Airport na anavitu anapiga picha box limeandikwa jina lako na...
  2. D

    KENYA: Aliyepokea fedha kimakosa kwa M-Pesa ashtakiwa kwa wizi

    Hapo kashetani ka magereza kanakuita,we jisahau alafu uitoe,ndo cku hiyo mwenye nayo atapatikna.iache ipumulie humohumo kwenye line.
  3. D

    Serikali inawatengenezea vipato Wachina, huu ni wizi!

    Kwan umelazimishwa kucheza asee?................
  4. D

    Elimu ya unajimu

    Nimepata kwikwi kidogo apo kwenye list ya planet... nimeona umeilist SUN kama mojawapo ya planet
  5. D

    Kufungua radio station

    Kama upo ndani ya dar ata ukienda TCRA kuhusu kupata frequency ilo jambo sahau.
  6. D

    Kwa Wapenzi wa Filamu za Mapigano (Action Movies)

    Za kitambo Deadly prey- komando kipensi Strike comando Hard way Eastern condors Warbus Za sasa Fury Mines-hii ni balaa location moja mwanzo ad mwisho wa mwisho akil nying imetumika apo Behind the enermy lines Sniper (zote)
  7. D

    Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

    Mi nilipoipendeA hii program ni kwamba ata ukiwa na gari binafsi unaweza ukalitumia kupiga pesa mjini,,, na pia hauna kituo cha kupak pesa,, wewe popote tuu ulipo unapata notification ya mteja
  8. D

    MOVIES ZA HOLLYWOOD Kuhusu African History.

    Tafuteni kitu kinaitwa VIVA RIVA asee iyo muvi ni konki
  9. D

    KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

    Karibu pale mbagala zakhem kila jmos mida ya saa moja usiku tutafune pamoja hi kitu iuzwe kilo buku 50 tutaitafuna hamna namna Sent using Jamii Forums mobile app
  10. D

    Tuliosoma shule za kata tujikumbushe harakati tulizopitia mpaka kufikia vyuo vikuu na kuwatia moyo wadogo zetu

    Daah, nyie achen tuu wana sisi skuli kwetu idadi ya walim walikua kama 7 mwalim wa physics mmoja tuuu,, hatukua na mwalim wa hesabu,,, yaan tumeingia form one January tulikua tunasoma masomo ya arts tuu pekee ila sayansi (biology, chemistry and physics) hata definition zao hatujui ,,ilikua hali...
  11. D

    Ngoma kali za mapenzi zilizopata kutokea katika Bongo fleva

    Dokta wangu - kumpeneka Nakuzimia- Mr paul Mpenz nakupenda - Saida karol feat banana zoro Helo- ney wa mitego Nimekuchagua wewe - bob rudala My love- squeezer feat maunda zoro Nimekusamehe - spider Nikikupata - ben pol Milele daima- marlaw Latifa- mb doggy Sikiliza izo love song mzee hazichoshi...
  12. D

    Zijue mbinu za Kisasa za Kumkwepa kumlipa nauli Kondakta katika Daladala

    Mbinu kali kuliko zote we nyoa KIPARA na kama una ndevu NYOA then ukae utulie kimya ndani ya daladala,, konda akikukaribia ata usimuangalie jifanye unaaangalia nje au unachezea chezea simu yako,,,,,, konda apo kamwe hawez kukudai nauli atajua tuu we ni askari,,ATAKUPITA ,,,, It works 100% Sent...
  13. D

    Majina ya Asili ya Kabila la wachaga

    Ilo jina 111 ntampa mwanangu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom