Viongozi wa dini nao wanadanganya?Godwin Gondwe ametoa machozi watu wanashindia uji usio na sukari kwa maembe tusubiri tu kauli zinapishana wao kwa wao sisi yetu macho!
Utapata kazi la msingi uwe serious juzijuzi binti wa kazi ka disappear na mtoto wa miaka minne sijui kama walimpata so tuweni makini na tujue background zao,wadhamini ikiwezekana kwao na wazazi wake wengine washirikina,Mungu atusaidie kwa kweli!
Mimi mwananchi wa kawaida nanufaika vipi na waliotumbuliwa ilihali maisha yangu still magumu,? Tupendacho watu wa chini huduma za kijamii ziwe rahisi mfano madawa, umeme, mashuleni na tupate milo mitatu ndivyo ttulivyoaminishwa.Sasahivi ni tofauti
Kweli jamaa kachambua vizuri ...ukiachilia mbali ushabiki Simba wajipange vizuri performance yao sio nzuri ya kupata goli moja hawana team work kila MTU anacheza kivyake!Yanga uwezekano wa kufunga magoli mengi upo fikiria juzi Tambwe na Chirwa hawakucheza hii pekee sycologically timu zimeanza...
Pole sana ila kesi ya upande mmoja huwezi to a hukumu pili hiyo basi inapakia mizigo mingi ya wateja straight aje achukue mzigo wako tu?kuna kitu kingine nyuma ya pazia hujaweka wazi tusifikirie uovu wa mmojawapo kwa hasira Ila kama ni kweli umeporwa kwa serikali ya sasa hana pa kukimbilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.