nadhani alikuwa haongelei uraia wa kufikia. Waarabu wazungu na wahindi sio weusi, sio raia wa asili, bendera ina rangi nyeusi na kuna sababu. Sio blond.Hivi hao "Wahindi, Waarabu au Wazungu" uliowataja si Watanzania? katika "uchunguzi wako huru" ulikuwa ukiwauliza Uraia wao?
Huyo mjamaa wa nyuma si mwanaume huo mkono wake wa kushoto umeshika wapi?nasi abiria ni sehemu ya lawama...kupenda vya nafuu....
Ukiangalia barabarani ajali zinazotokea au ukienda Wodi za hospital nyingi hapa nchini hutakuta Wahindi, Waarabu au Wazungu wamepata ajali ya Bodaboda (pikipiki) japo wao ni watuamiaji wazuri sana wa usafiri wa aina hii.
Mfano mzuri, jijini Dar wahindi wengi wanatumia zaidi pikipiki kuliko daladala na magari binafsi lakini watu hawa huwakuti wamepata ajali ovyo ovyo tofauti na watanzania ambao kila siku wanakatwa miguu na kufariki. Tatizo ni nini? watanzania hawatumii akili katika kuendesha bodaboda? wanapenda kushindana na kutofuata sheria? Nini mtizamo wako.?
KARIBUNI.