Msaada/mawazo kuhusiana na kozi ya IT

Msaada/mawazo kuhusiana na kozi ya IT

Mimi mwenyewe nataka nikasome afya ingawa nimemaliza 2010 nataka nisome maana nilichaguliwa ualimu mwaka huu diploma but nimeshindwa kujilipia karo najipanga 2017 nikasome certificate of medicine
Umepanga kuingia chuo gani?!
 
Mimi mwenyewe nataka nikasome afya ingawa nimemaliza 2010 nataka nisome maana nilichaguliwa ualimu mwaka huu diploma but nimeshindwa kujilipia karo najipanga 2017 nikasome certificate of medicine
Umepanga kuingia chuo gani
 
Ni kozi ninayoipenda nilijaribu kujishawishi kusoma kozi za afya ila naona kama najidanganya ninaamua kufata moyo wangu
Hata mm naona najidanganya ila mwakan nataka nianze diploma ya hiyo kitu
 
Kasome certificate of nursing ,certificate of medicine ,certificate of medical laboratory ,certificate of pharmacy nk hizi ndoo ziko poa na unapewa ufadhili wa kusomeshwa na serikali ukichaguliwa vyuo vya serikali achana na IT ,kama mwenye diploma au degree ya IT Amalia ajira je ? Wewe mwenye cheti ?
Hua nashaangaga sana mtu wa iT anapokosa ajira, hivi hata kufanya project binafsi mmeshindwa?? Basi mnaelimu ila maarifa hamna!
 
Asante kaka kwa ushauri wako mpaka hapa mawazo yako nikiunganisha na yangu ntapata maamuzi yaliyo sahihi
Ubalikiwe sana
Nenda kasome afya ndoo kozi pekee iliyobaki na ajira za uhakika kwingine njaa
 
Hua nashaangaga sana mtu wa iT anapokosa ajira, hivi hata kufanya project binafsi mmeshindwa?? Basi mnaelimu ila maarifa hamna!
Hiyo project IPI ?hapa bongo ambayo haijawahi kufanywa ? Na project ipi ambayo unaweza kufanya bila capital ? Acha kudanganya watu Nina washikaji kibao wamesoma IT degree /diploma/Cheti wanalia njaa
 
Mtoa mada kwa ufaulu huo ulio nao usiende kabisa kujichimbia kabuli huko IT ww tulia u apply course za afya hizo ndio zitakupa ajira haraka japo ufaulu wako itakuwa ngumu kupata serikalini ila jipange na private ukapigie Clinical medicine
 
Mtoa mada kwa ufaulu huo ulio nao usiende kabisa kujichimbia kabuli huko IT ww tulia u apply course za afya hizo ndio zitakupa ajira haraka japo ufaulu wako itakuwa ngumu kupata serikalini ila jipange na private ukapigie Clinical medicine
Je ? Mimi mkuu naweza pata afya serikalini ? Kwa kozi ya certificate of medicine ? Kwa ufaulu huu ,physics C,chemistry, C and biology ,D, English, C, mwaka 2010 ndoo nilimaliza naweza pata ?
 
Hiyo project IPI ?hapa bongo ambayo haijawahi kufanywa ? Na project ipi ambayo unaweza kufanya bila capital ? Acha kudanganya watu Nina washikaji kibao wamesoma IT degree /diploma/Cheti wanalia njaa
IT ukiwa na kompyuta yako na maarifa yako inatosha cha muhimu ni kuelewa soko linaendaje ila kama mtu anategemea ajira IT za kuajiriwa, IT haifai hata kidogo hapa TZ lakini ni sekta ambayo bado haijatumika vizuri ila ina fursa nzuri tu?.
 
IT kazi nyingi sana makampuni mengi ya simu yana uhitaji sana na watu wa IT
 
IT kazi nyingi sana makampuni mengi ya simu yana uhitaji sana na watu wa IT
Na isitoshe teknololojia kwa tanza nia inaanza kushika kasi nahisi miaka ya mbele watu wa kompyuta huenda wasilale njaa
 
Ninafikiria kuanza certificate kozi ya IT. Ninaomba kujuzwa kuhusiana na hii kozi. Je iko marketable, na jinsi ilivyo
Wakati mwingine kwenye maamuzi hutakiwi kufata ushauri wa Mtu, usisome kwa ajili ya kuajiliwa utaishia kulalama tu, Maana sasa ivi ajira zenyewe shida, we soma kitu unachokipenda mambo ya ajira utakuta mbeleni, yaani certificate tu unaanza kuulizia ajira wakati unamiaka 3-5 ya kusoma
 
Je ? Mimi mkuu naweza pata afya serikalini ? Kwa kozi ya certificate of medicine ? Kwa ufaulu huu ,physics C,chemistry, C and biology ,D, English, C, mwaka 2010 ndoo nilimaliza naweza pata ?
Jaribu bahati yako mkuu, udahili wa government una ushindani sana na inategemea na mwaka ila wewe unaweza kupata mana 2010 hio sio ma BRN wakizungua jitupie engineering kati ya Civil,mecha au Electrical
 
Back
Top Bottom