Natafuta kazi za ndani

Natafuta kazi za ndani

Dada ulieanzisha hii thread nakupa pole kwa kua umekuja sehem ambayo sio sahihi na zaidi ya 80% wanaosoma hii post hawana msaada zaid wanataka kulala na wewe tu ama kukuchezea kwaio ushaur wang kua makini na pia sehem kama hizi sio salaama sana kutoa namba zako na zaidi picha zako zinaweza kutumika vibaya. Kwaio nakushaur tafuta namna nyingine ya kupata unachohitaji bila kero hizi manaa naamin ushapata kero za kutosha...watu wanawaza ngono tu dada hapa
Huyu sio mtu halisi na madai yake si halisi pia.
 
Kuolewa ama kutokuolewa hakumzuii k
Mtu kufany kaz....Wengne Naona hawapo serious.....CJAOLEWA
....malizia tu hujaolewa ila ushashusha injini,a.k.a single mother;
...unaficha wataka enda iba vinguo na maziwa ya watoto wa watu kwani?
 
....malizia tu hujaolewa ila ushashusha injini,a.k.a single mother;
...unaficha wataka enda iba vinguo na maziwa ya watoto wa watu kwani?
Watu Wana majb ya hovyo sana wakat mwngne
 
Utapata kazi la msingi uwe serious juzijuzi binti wa kazi ka disappear na mtoto wa miaka minne sijui kama walimpata so tuweni makini na tujue background zao,wadhamini ikiwezekana kwao na wazazi wake wengine washirikina,Mungu atusaidie kwa kweli!
 
Utapata kazi la msingi uwe serious juzijuzi binti wa kazi ka disappear na mtoto wa miaka minne sijui kama walimpata so tuweni makini na tujue background zao,wadhamini ikiwezekana kwao na wazazi wake wengine washirikina,Mungu atusaidie kwa kweli!
hayo ndo tunayo-ogopa ni hatari kweli mkuu
 
Watu Wana majb ya hovyo sana wakat mwngne
hayo hayo majibu ya hovyo ndo kipimo cha jinsi unavyoweza kucontrol hasira yako mangi;
...komaa kabla ya umri,vingine unapotezea tu!
 
hayo hayo majibu ya hovyo ndo kipimo cha jinsi unavyoweza kucontrol hasira yako mangi;
...komaa kabla ya umri,vingine unapotezea tu!
Kwaio msaada wenu ni kumjibu ovyo kwa kujitetea kwamba mnampima uwezo wa kucontrol.hasira zake...
na wale walioenda inbox kwake kutaka ngono nae nao wanampima pia au
 
Kwaio msaada wenu ni kumjibu ovyo kwa kujitetea kwamba mnampima uwezo wa kucontrol.hasira zake...
na wale walioenda inbox kwake kutaka ngono nae nao wanampima pia au
Eti
 
Kwaio msaada wenu ni kumjibu ovyo kwa kujitetea kwamba mnampima uwezo wa kucontrol.hasira zake...
na wale walioenda inbox kwake kutaka ngono nae nao wanampima pia au
....usijivike uwakili;mwenyewe amesema alipoweka namba alitegemea yote!...na tambua si kila mwenye msaada anacomment,wapo wanaosoma tu!
...mwisho,hakuna mtu anaehitaji kujitetea kwa chochote,kwa yeyote hapa;akiombwa ngono mwenyewe anajua cha kufanya,mtu mzima huyo keshazaa tayari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom