Recent content by deo kijigo

  1. D

    Msaada: Action movie Italian Job 2003

    Nimefuatilia Uzi umekaa poa sana. Msaada: me natumia Android phone, nitumie website gani kupata movie safi kama hizo. Pia kama kuna App inayoweza kunipa utamu huo please, naomba msaada wenu wakuu. #Chief Mkwawa naomba msaada wako.
  2. D

    Sijaona mmasai mlemavu wa kuzaliwa iwe ulemavu wa viungo au wa ngozi

    Ahsante kwa kukumbuka. Mambo mengine tunaendekeza imani potofu. Ukitaka kuwaona albino walemavu nenda shule ya msingi ya wakemavu na wasioina KABANGA
  3. D

    Sijaona mmasai mlemavu wa kuzaliwa iwe ulemavu wa viungo au wa ngozi

    Kwani yule alisaidiwa bajaji na JPM na akaonyesha TBC taifa, "hakua MMASAI"? Ni mlemavu aliekua anatumia baiskeli ya magurudumu mawili.
  4. D

    Naomba msaada, kanusha sentensi hii "ameshiba sana"

    Naunga mkono hoja. Kinyume cha neno shiba=njaa
  5. D

    Kwa uongo huu unaosambaza Zitto Kabwe dhidi ya Rais, hakika inadhihirisha kuwa umetekwa na Mafisadi

    We na waandishi wa habari uliowasikia wakisema hivo, mmekurupuka na sioni sababu ya kumshutumu ZITTO kabla ya ya kumhoji kuhusu matamko/kauli zake. Wakati mwingine ukute anajiamini na kauli zake, oia ukute ana vielelezo kama ushahidi wake. #SUBIRA YAVUTA KHERI
  6. D

    Ajira za watumishi 2016/2017

    Mnajadili vitu gani huko Kwa group?
  7. D

    Natafuta ajira ya muda (ualimu stashahada)

    Yoyote anaeweza kuniongoza kupata kazi ya ualimu shule za secondary. Elimu yangu ni stashahada(kiswahili na historia+ICT) GPA 3.1 mawasiliano 0755846760
  8. D

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Msaada jamani, Naomba kujua ufaulu sahihi unaomwezesha mhitimu wa stashahada ya ualimu kujiunga na chuo kikuu.
  9. D

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Msaada jamani, Naomba kujua ufaulu sahihi unaomwezesha mhitimu wa stashahada ya ualimu kujiunga na chuo kikuu.
  10. D

    Matokeo ya Kidato cha Sita 2015 yametangazwa

    Mpaka lini au muda gani? Ikumbukwe mtihani ulifanyika siku moja
  11. D

    Matokeo ya Kidato cha Sita 2015 yametangazwa

    Nimezoea kuona matokeo ya 4m6 yanatoka na yale ya walimu stashahada na cheti lakin leo hali ni tofauti.
  12. D

    Siasa za siasa: Kafulila ni kichwa jamani

    Wakulima Tanzania ni 70%, hivyo basi kikwete anaposema hakufanikiwa kwenye idara hii ya watanzania walio wengi ni sawa na kusema hajatatua tatizo la Umasikini ndani ya watanzania. Ikumbukwe hata Mkapa alishindwa kuendeleza idara hii ipasavyo. Hongera sana mh. D. KAFULILA
  13. D

    Live: Mkutano wa CHADEMA uwanja wa town School Tabora

    Huo mkutano niwasiku nyingi zilizopita. Mkutano huo niwa mwezi wa Tatu. Umeudanganya uma
  14. D

    CHADEMA yambwaga Zitto Kabwe Mahakamani, aamriwa kulipa gharama za kesi

    Zitto Ruyagwa Kabwe @ zittokabwe 1h Hatukuwa na wito wa mahakamani leo. Jaji kahamishiwa Tabora. Hatuna taarifa ya Jaji Mpya. Mwanasheria wetu anafuatilia na atatoa statement View details
  15. D

    CHADEMA yambwaga Zitto Kabwe Mahakamani, aamriwa kulipa gharama za kesi

    Uzushi mtupu....... Ninachojua mm kesi imesogezwa mbele. Alie tuhabarisha atujuze jaji aliesoma kesi hiyo maana jaji Alie pangiwa kesi kahamishwa kwa maana hiyo kesi itasomwa mpaka pale atakapo teuliwa jaji msimamizi wa kesi hiyo. Awali alikua Jaji Lutamwa
Back
Top Bottom