Nimezoea kuona matokeo ya 4m6 yanatoka na yale ya walimu stashahada na cheti lakin leo hali ni tofauti.
dip na grad bado
Mpaka lini au muda gani?
Ikumbukwe mtihani ulifanyika siku moja
niangalizie rungwe high school namba 936
s0149/0936 | m | 2.3 | credit | g/studies - 'd' geogr - 'b' adv/maths - 'c' economics - 'c' |
mkuu bado hayafunguki mpaka saivi
mkuu naomba niambie kama hayo ya ruvu sec..umeyaona