Kwa uongo huu unaosambaza Zitto Kabwe dhidi ya Rais, hakika inadhihirisha kuwa umetekwa na Mafisadi

Mimi nina wasiwasi sana kuwa IPTL huwa ni mradi wa CCM ambao hutumika kupata fedha wakati wa uchaguzi. Haiwezekani Rais aliyetuaminisha kuwa yeye ni mtumbua majipu, mbona hili suala la IPTL anapotezea au ni kwa sababu anafahamu kuwa hela iliyokwapuliwa 2014 ilitumika kufanikisha juhudi za yeye kuingia madarakani hivyo hawezi kuchukua hatua yeyote na ndiyo maana mpaka leo amekaa kimya.

Wapinzani hili lifanyieni kazi, lazima IPTL na investment nyingine zilizobinafsishwa kama vile Mtibwa Sugar na Kagera Sugar itakuwa ni miradi ya CCM inayotumika kuhakikisha CCM inaendelea kuwepo madarakani.
 
Wadau, amani iwe kwenu.
Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Hapa ndipo ninapokumbuka maneno ya Zitto Kabwe kuwa Usimwamini Mwanasiasa. Kwa hili nimemdharau sana Zitto Kabwe

Mkulu usibadilishe...Zitto kadai kuwa kwa nini Mheshimiwa anapata kigugumizi kuhusu swala la IPTL????? au dagaa ndo rahisi kuliko hawa papa?????

Vipi mbona hukututupia kuhusu ile mashine ya kuchapa ilouzwa kama chuma chakavu??????

Uzalendo uko wapi kama viroboto vya nguoni hutaki kutoa halafu wapinzani wakitoa mnanza kupinga?????
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nioneshe masikitiko yangu kwa kijana mwenzetu, Zitto Kabwe ambaye hapo awali tulimuamini kwa kujenga hoja madhubuti kwenye mapambano dhidi ya ufisadi. Hakika mara kadhaa Zitto Kabwe aliibuka shujaa na hoja zake zilikuwa na mashiko.

Ila kwa sasa sijaelewa nini kimemkumba ndugu Zitto Kabwe. Kwa sasa amegeuka kuwa mtetezi wa Ufisadi na Mafisadi. Nimejiuliza sana nini kinaendelea nyuma ya pazia.

Awali alizusha kuwa Ndege Mpya zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya ATCL ni Mtumba kutoka shirika la Ndege la Kazakhstan. Tena Zitto akaenda mbali kwa kusema kuwa ndege hizo zilipaswa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 9 kwa kila moja lakini Serikali imenunua kwa Dola milioni 61. Waandishi wa habari waliopata fursa ya kujionea ndege ya kwanza iliyowasili hakika wamestaajabu sana baada ya kubaini kuwa Zitto Kabwe kasema uongo. Baadhi ya waandishi ambao nilikuwa nao karibu wamehoji sababu hasa ya Zitto Kabwe kutunga uongo ule.

Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Hapa ndipo ninapokumbuka maneno ya Zitto Kabwe kuwa Usimwamini Mwanasiasa. Kwa hili nimemdharau sana Zitto Kabwe
Hasa mwanasiasa kutoka Kigoma! Namkumbuka mbunge wao wa kwanza kutoka Chadema.
 
Kwanza yani mi hata niviite vindege kwanza vya hovyo mi nashangaa kuona baadhi ya watanzania eti wanafurahia hizo ndege mbili duh! Kweli huu ni msiba Atleast kwa sasa tungekuwa na ndege 20, Hivi kweli Nchi yetu ina ndege mbili jaman hebu tuweni serious kwanza hata mataifa ya wenzatu wanashangaa kwa Nchi kama hii
Kuanza na ndege mbili wakati wenzetu wako mbali sana si hoja, angalau ni sehemu ya kuanzia. Lakini kama kuna ufisadi au uzembe katika kufanya manunuzi hayo ni hoja ya msingi sana
 
1. Waandishi wa habari wana uwezo wa kutofautisha ndege mpya na mtumba? Wewe unaweza? Au ukiona inang'aa rangi tu you take it to be new?

2. Mimi kinachonishangaza ni kwamba Zitto na ACT kwa ujumla hata waseme nini (kama wanasema), CCM (mainstream) haina tatizo nao. Kitu hichohicho alichosema Zitto kikisemwa na viongozi wa Chadema hapakaliki. ACT walifanya mkutano wao wa ndani wakati police imepiga marufuku. Chadema wakijaribu kufanya hivyo, police wanavamia. Japokuwa namheshimu sana Zitto ila naamini anaigiza (theatre) - huwezi kuigonga CCM sawasawa halafu bado waendelee kukumbatia kama mwenzao. Zitto amemsema sana Magufuli kuhusu udikteta lakini kukawa kimya. Alipokuja kusema Lissu na Chadema ikawa balaa. Hata walipoitisha UKUTA, Zitto ambaye ndiye aliyeanza kumtuhumu Magufuli kwa udikteta, akakaa pembeni na kubeza kuwa ACT itafanya kazi ya kupelekea majeruhi vyakula mahospitalini (something like that). Kuna kitu.
 
Ni wewe ulikuwa unamtetea sana Kikwete wakati ule, na sasa upo na Magufuli ukiponda ya kikwete na mafisadi akija mwingine nakuhakikishia utakuwa unaponda tena na kumuunga mkono ajae! Huu ni undumi la kuwili na inaonyesha huna umakini wowote uu mtu wa porojo na mchumia tumbo

Ukiondoa upinzani, wote walikuwa wanamtetea na kumuunga mkono JK kwa aliyokuwa akiyafanya. Leo wamemgeuka mbele na nyuma, in and out! Kesho watafanya hivyo hivyo. Kuna waziri alikuwa anamsifia JK as if ni Mungu , leo anamhukumu
 
Mmmmmm! Mtoa mada upya wa kitu ni nini? Hebu na wewe thibitisha huo upya, Kwa TZ sishangai kumuona muongo sababu tunaangalia vitu kwa nje sana, ukiagiza gari used kwa nchi na kampuni husika huku Tanzania watu wengi hawajui chochote kile wanaona ni mpya. Kumbe ilishatembea kilometa nyingi tu.
Wale wote mnaosema kuwa hizi ndege ni mitumba, mnapaswa kututhibitishia juu ya kauli yenu hiyo
 
Ukiondoa upinzani, wote walikuwa wanamtetea na kumuunga mkono JK kwa aliyokuwa akiyafanya. Leo wamemgeuka mbele na nyuma, in and out! Kesho watafanya hivyo hivyo. Kuna waziri alikuwa anamsifia JK as if ni Mungu , leo anamhukumu
Umesahau pia kuwa kuna wapinzani walikuwa wanamponda sana Kikwete akiwa madarakani ila leo wanamkumbuka. Vivyo hivyo itakavyotokea kwa Rais Magufuli akimaliza muda wake
 
Nadhani kwa sasa upinzani hauna hoja yenye mashiko, labda wajikite kwenye "katiba mpya ya wananchi".
 
Zitto Kabwe ni product ya CHADEMA. Hivyo ana hulka za uchadema chadema na ndio maana anakuwa muongo muongooooooo!
1. Waandishi wa habari wana uwezo wa kutofautisha ndege mpya na mtumba? Wewe unaweza? Au ukiona inang'aa rangi tu you take it to be new?

2. Mimi kinachonishangaza ni kwamba Zitto na ACT kwa ujumla hata waseme nini (kama wanasema), CCM (mainstream) haina tatizo nao. Kitu hichohicho alichosema Zitto kikisemwa na viongozi wa Chadema hapakaliki. ACT walifanya mkutano wao wa ndani wakati police imepiga marufuku. Chadema wakijaribu kufanya hivyo, police wanavamia. Japokuwa namheshimu sana Zitto ila naamini anaigiza (theatre) - huwezi kuigonga CCM sawasawa halafu bado waendelee kukumbatia kama mwenzao. Zitto amemsema sana Magufuli kuhusu udikteta lakini kukawa kimya. Alipokuja kusema Lissu na Chadema ikawa balaa. Hata walipoitisha UKUTA, Zitto ambaye ndiye aliyeanza kumtuhumu Magufuli kwa udikteta, akakaa pembeni na kubeza kuwa ACT itafanya kazi ya kupelekea majeruhi vyakula mahospitalini (something like that). Kuna kitu.
 
Nadhani kwa sasa upinzani hauna hoja yenye mashiko, labda wajikite kwenye "katiba mpya ya wananchi".
Katiba Mpya ipi tena watakayojikita? Mchakato ule ulishamalizika. Kilichobaki ni Referendum. Wapinzani wameishiwa pumzi sasa
 
Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Mkuu vipi maoni yako juu ya Mahakama kumwamrisha Tanesco kuwalipa SCB HongKong?
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nioneshe masikitiko yangu kwa kijana mwenzetu, Zitto Kabwe ambaye hapo awali tulimuamini kwa kujenga hoja madhubuti kwenye mapambano dhidi ya ufisadi. Hakika mara kadhaa Zitto Kabwe aliibuka shujaa na hoja zake zilikuwa na mashiko.

Ila kwa sasa sijaelewa nini kimemkumba ndugu Zitto Kabwe. Kwa sasa amegeuka kuwa mtetezi wa Ufisadi na Mafisadi. Nimejiuliza sana nini kinaendelea nyuma ya pazia.

Awali alizusha kuwa Ndege Mpya zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya ATCL ni Mtumba kutoka shirika la Ndege la Kazakhstan. Tena Zitto akaenda mbali kwa kusema kuwa ndege hizo zilipaswa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 9 kwa kila moja lakini Serikali imenunua kwa Dola milioni 61. Waandishi wa habari waliopata fursa ya kujionea ndege ya kwanza iliyowasili hakika wamestaajabu sana baada ya kubaini kuwa Zitto Kabwe kasema uongo. Baadhi ya waandishi ambao nilikuwa nao karibu wamehoji sababu hasa ya Zitto Kabwe kutunga uongo ule.

Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Hapa ndipo ninapokumbuka maneno ya Zitto Kabwe kuwa Usimwamini Mwanasiasa. Kwa hili nimemdharau sana Zitto Kabwe
Mkuu kwa kushirikiana na Lowassa wapinzani wameamua kutumia sehemu kubwa ya Ruzuku kuhonga wana habari ili kupindisha ukweli na kueneza propaganda....na JPM anafanya vitendo sasa itafika siku hata wananchi watasusia magazeti na kuwasusia wanasiasa hao....ni suala la muda tu.
 
Umesahau pia kuwa kuna wapinzani walikuwa wanamponda sana Kikwete akiwa madarakani ila leo wanamkumbuka. Vivyo hivyo itakavyotokea kwa Rais Magufuli akimaliza muda wake

Bado upinzani unasema kuwa kikwete alikuwa dhaifu. Hawajafuta kauli hiyo. Wanasema kipengele cha demokrasia JK was doing good, not better or best
 
Sasa huyo habinder seth si ndio mmiliki wa mitambo ilee pale regeta inayotakiwa kubinafsishwa kwa mujibu wa bunge!!!
Mbona mkulu hachukulii hatua yale maazimio ambayo na yeye alishiriki kuyapitisha!!???
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Kwanza nioneshe masikitiko yangu kwa kijana mwenzetu, Zitto Kabwe ambaye hapo awali tulimuamini kwa kujenga hoja madhubuti kwenye mapambano dhidi ya ufisadi. Hakika mara kadhaa Zitto Kabwe aliibuka shujaa na hoja zake zilikuwa na mashiko.

Ila kwa sasa sijaelewa nini kimemkumba ndugu Zitto Kabwe. Kwa sasa amegeuka kuwa mtetezi wa Ufisadi na Mafisadi. Nimejiuliza sana nini kinaendelea nyuma ya pazia.

Awali alizusha kuwa Ndege Mpya zilizonunuliwa na Serikali kwa ajili ya ATCL ni Mtumba kutoka shirika la Ndege la Kazakhstan. Tena Zitto akaenda mbali kwa kusema kuwa ndege hizo zilipaswa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 9 kwa kila moja lakini Serikali imenunua kwa Dola milioni 61. Waandishi wa habari waliopata fursa ya kujionea ndege ya kwanza iliyowasili hakika wamestaajabu sana baada ya kubaini kuwa Zitto Kabwe kasema uongo. Baadhi ya waandishi ambao nilikuwa nao karibu wamehoji sababu hasa ya Zitto Kabwe kutunga uongo ule.

Leo amekuja na kihoja kingine kuwa eti Habinder Seth, mmiliki wa IPTL aligharamia mkutano wa CCM uliomchagua Rais Magufuli kuwa Mwenyekiti wa chama hicho na ndio maana Rais hachukui hatua dhidi yake. Lengo la Zitto Kabwe kutunga uongo huu ni kumpaka matope Rais na kumhusisha na matendo ya kifisadi ambayo hana.

Hapa ndipo ninapokumbuka maneno ya Zitto Kabwe kuwa Usimwamini Mwanasiasa. Kwa hili nimemdharau sana Zitto Kabwe



We na waandishi wa habari uliowasikia wakisema hivo, mmekurupuka na sioni sababu ya kumshutumu ZITTO kabla ya ya kumhoji kuhusu matamko/kauli zake.

Wakati mwingine ukute anajiamini na kauli zake, oia ukute ana vielelezo kama ushahidi wake.

[HASHTAG]#SUBIRA[/HASHTAG] YAVUTA KHERI
 
Sasa huyo habinder seth si ndio mmiliki wa mitambo ilee pale regeta inayotakiwa kubinafsishwa kwa mujibu wa bunge!!!
Mbona mkulu hachukulii hatua yale maazimio ambayo na yeye alishiriki kuyapitisha!!???
Unataka aingilie kati then mseme kuwa Rais ni dikteta? Mahakama yeye, Bunge yeye na kila kitu yeye? Hamna maana ninyi wapinzani
 
Back
Top Bottom